Wanaume jifunzenii Usafii

Wanaume jifunzenii Usafii

Kama yupo shupavu akianza kukushughulikia sawa sawa utasahau uliyoyaona kabla na utajikuta wewe myenyewe huo mdomo unaotoa harufu unaulamba automatically
 
Siku nyingine mnunulie rungu, vile visabuni vya lodge ni vidogo sana
 
Maranyingi mmekuwa mkiwashutumu wanawake kuwa ni wachafuu lakini kuna wanaume ni wachafu sijapata kuona mwingine unakutana nae barabarani tuu harufu anayotoa utafikiri beberuu la mbuzii
Wengine ndiyo mkiwa mnataka kufanya yale mambo yetu akivua surualiiii lol harufu inayotoka haielezeki boxer unakuta huelewi n rangi ganiii kwa uchafu halafu huo mdomo akiongeaaaa ptuuuuuhhh
Halafu huwa mnajisifia eti mwanaume hapaswi kuwa msafi kama mwanamke
Mnajidanganyaa badilikeni sio kila lawama ni kwa mwanamke kuna wanaume mmezidisha uchafuuuuu
Afuu mnajitapa ooh kuna wanawake kitandani n mizigo,

Nakupaje ushirikiano kwa hali hyooo??????
Ww ni jinsia gani
 
Wanaume wa level yako ndio wapo hivyo, tayari ushatuambia ulivyo muonekano wako bila wewe kujua
 
Tatizo umezoea chapu chapu huna mpenzi wako maalumu lazima hayo yakukute kwakuwa unakutana nao wakiwa misele mpenzi mzuri ni wako wa kudumu naye unamuandaa baafuni unamuogesha unamkanda mabega unamfulia chupi huyo hawezi kuwa mchafu mchafu ni wewe unaekimbia majukumu yako kuwa utakuwa msaidizi wa mume usafi unaanza na mwanamke unaishia kwa mume nje ya hapo mchafu ni mwanamke
 
Mida ya break hii kwa sisi walinzi. Usafi ni wa muhimu sana aise kwa pande zote mbili
 
Back
Top Bottom