Wanaume jifunzenii Usafii

Wanaume jifunzenii Usafii

Kwaio akili yako ndo imegota hapo.. Huez kujiongeza ukampelekea hata sabun na na marashi uyapendayo, mchetue hajastuka huyo bebelu wako usituchanganye. Vyuma tight
Pambana na hali yakooo
 
Maranyingi mmekuwa mkiwashutumu wanawake kuwa ni wachafuu lakini kuna wanaume ni wachafu sijapata kuona mwingine unakutana nae barabarani tuu harufu anayotoa utafikiri beberuu la mbuzii
Wengine ndiyo mkiwa mnataka kufanya yale mambo yetu akivua surualiiii lol harufu inayotoka haielezeki boxer unakuta huelewi n rangi ganiii kwa uchafu halafu huo mdomo akiongeaaaa ptuuuuuhhh
Halafu huwa mnajisifia eti mwanaume hapaswi kuwa msafi kama mwanamke
Mnajidanganyaa badilikeni sio kila lawama ni kwa mwanamke kuna wanaume mmezidisha uchafuuuuu
Afuu mnajitapa ooh kuna wanawake kitandani n mizigo,

Nakupaje ushirikiano kwa hali hyooo??????
Na wewe uache kuokota wanaume wa ovyo wa mikoani ,tafuta born daisalama
 
Back
Top Bottom