mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
Mmmh
Mi sijawahi labda wenzangu..
Mi sijawahi labda wenzangu..
Naomba nauli ya kuhamishia kwako.
Nauli ni kiasi gani?
Elfu 33
Umepata, jiandae
Kwa hiyo ina maana hata kama jamaa akimuowa huyo binti,ina maana kama huyo binti akitangulia mbele ya haki jamaa hata weza tena kulala na mwanamke mwingine?
Umeeleweka mkuu.Kwa maelezo aliyoambiwa na mganga.. Ni mpka binti akubali yeye mwenyewe kwa hiari ndiyo maana kaambiwa aende azungumze naye aone itakavyokuwa bintu akikataa inabidi amuoe tu. na mfano akifa ilihali alikwisha muoa hakuna tatizo..
Kiufupi maneno aliyokuwa anamshawishi bintu yule kipindi anamtongoza ni kama agano alifanya na Binti yule kupitia dawa alizotengenezewa
Sasa ili avunje agano ilo inabidi muhusika aridhie

Ifikie hatua tuanze kuwauliza na maswali
Vipi huko ni salama kabisa hakuna madhara yeyote!?
...hakuna adhabu kali kwa mwanaume kama kumpunguzia cheo yaani atoke 4G hadi E..![]()
Hii mambo nilishashudia pia kwa ndg yangu alienda kasulu vijjn akajitia dume akaambulia kuoa mtu ambae si type yake.
We jamaa unafanya kimya kimya mkuu hizo mambo za kuongea pembeni usiziandike hapa mtoto ataona aibu mfuate directly mtu mzima uyo anaelewa!mwanangu jicho langu halijawahi kunidanganya, mimi nataka sema nawe pembeni tafadhali
ndio Tulivyoumbwa Tuvumilie TuBora uwaambie wanapenda sana kuchovya chovya
Kumbe na ww umeona Hiyo hali yaan kila siku natibu gono sio chin ya watu wanne nmeshtuka sana hii haliisee kama dodoma hali ni mbaya vijana wamehamishiwa hapa wanachovyachovya tu,wengi wanaugua gonorea hapa
nimeona mkuu,jamaa zangu karibu wanne wameugua hii inamaana kinga hawatumiiKumbe na ww umeona Hiyo hali yaan kila siku natibu gono sio chin ya watu wanne nmeshtuka sana hii hali