Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,380
- 88,736
Naogopaa
usinibanie kihivyo mwanangu sogea karibu jmn
usinibanie kihivyo mwanangu sogea karibu jmn
tatizo lenu wanawake mmezidisha uzuri ndio maana mnatamanisha muda wote
Kama jamaa yako. Asali ishaisha awahi kabla hawajaanza mrina yeye
Naogopaa
ata hivyo kabinti kametetea nafasi yake.. Kalijua tu lazima arudi...
Ngoja tusubiri ataambiwa nini akie da..
wanawake wengi wabinafsi. Mi mwenyewe vya kushare staki. Nataka yangu na yangu pekee
Daah,hiyo haipo bibie....Sasa kama sisi wengine hatutosheki kabisa na sio kwamba tunajiendekeza ila ni silika zetu tu hizo.
Bora uwaambie wanapenda sana kuchovya chovya
Chovya kumoja tuKwahyo tusichovyie
Ndo maana yake hiyo sema moyo bado unampenda jamaa
Chovya kumoja tu
Uhamishie huku
Basi dawa yenu tushaipata.
Mi sijawahi labda wenzangu..Mnachokaga wakati mwingine
Mi sijawahi labda wenzangu..