Wanaume jamani naomba mtuache tupumue basi

Wanaume jamani naomba mtuache tupumue basi

Wao nitamalizana nao vizuri tu, issue ni kwako wewe kwanza, haya nipokee, nifungulie gate, nimebeba hapa kiloba cha mchele samaki na nazi za kutosha
Mlango unafunguliwa sasa hiv kama una hivyo vitu
 
umenikumbusha HT {head tail} HH {head head} TT {tail tail} TH {tail head} wachache watanielewa, by the way umetisha sana na probs zako
 
Afu kuoa au kuolewa sio lazima,tafuta pesa ata kama hujaoa au hujaolewa mambo yanaenda swwwaaaafiiii
 
19.kama wewe unapenda/tabia KUOMBAOMBA HELA una % nyingi zisizojulikana za kutoolewa kabisa.....hakyaa ya mungu..

unaiachaje kwenye orodha hiyo we ma" sabrina..??
 
Back
Top Bottom