Wanaume ingieni huku Mara moja

Natamani nikuone kwa sula yako nikupe darasa,unajaribu kuonyesha unajua lakini kuna kitu kimepungua kwako,kuongea mengi hapa ni haisaidii,ukweli ni kama huo niliousema msioutaka kizazi hiki cha leo
 
Usihukumu wanaume wote kwa makosa ya wachache, ni kweli wapo wenye vijitabia ivo vya ajabu ajabu bt wenye tabia nzuri ni weng pia. Hebu fanya kautafiti japo kadogo dogo tu, ni kwanini mabibi na mababu zetu na mama na baba zetupaka leo wapo pamoja!!
 
kila siku mwanaume wa mara nikulalamika mwanamke anataka kuwa juu yamwanaume kiladiku ni ngonjera zao hizo ili amkandamize mke hana thamani yakuuliza kwa mume wake chochote [emoji33]akiwa na hawara asiulizwe [emoji23]akichelewa kurudi asiulizwe[emoji40] mnyenyekee katoka kwa hawara akileta mtoto wainje umpokeee [emoji15]kila siku umsifiye mwanamke hana thamani mara yooooteee
 
Umeandika marefu nawewe halafu unarudia points za wenzako, emu kaa chini. Next..
 
Natamani nikuone kwa sula yako nikupe darasa,unajaribu kuonyesha unajua lakini kuna kitu kimepungua kwako,kuongea mengi hapa ni haisaidii,ukweli ni kama huo niliousema msioutaka kizazi hiki cha leo
Hahahaha, unaweza tokea lkn si Leo wala kesho
 
Hahahaha, unaweza tokea lkn si Leo wala kesho
We sema si leo wala kesho pasi kujua MUNGU amepanga nini,si nimekwambia MWANAUME ni habari nyingine?MUNGU anatuheshimu sana bana,hadi raha!!! Hi hi hihii
 
Labda 30%duniani kote ndio wanastahili hiyo heshima na thamani unatoiongelea ila wengi wenu hamjitambui wabishi ubabe na u mimi mwingi khasa mlipoanza kuingia kwenye u miliki wa uchumi wengi wenu mmekuwa na kiburi ipo mifano halisi mingi penye nyumba mke akiwa juu kwa kipato inakuwaje!hapana ule upuuzi wenu inafika mahali tunawatizama na nyie ni watu wa attention seeker hapo ndo yowe linaanza.
Wapo wanao jitambua na wana enjoy maisha sio hawa mbayuwai akili zipo juu juu mtaendelea kuona mnanyanyaswa.
 
We sema si leo wala kesho pasi kujua MUNGU amepanga nini,si nimekwambia MWANAUME ni habari nyingine?MUNGU anatuheshimu sana bana,hadi raha!!! Hi hi hihii
Siyo sababu, Mungu si dictator
 
Umeongea kweli lakini sio wanaume wote tupo hivo,pia kuna baadhi ya tabia zenu huwa zina changia mwanaume awe jinsi ulivyoongea.Binafsi naonaga ni vigumu sana ku define tabia za wanawake,hapo unataka haki sawa wakati huo huo unataka upendwe na mumeo ufanyiwe kila kitu.
 
Nani alikudanganya kua MUNGU si dictator?huyo ana vyeo vyote duniani,mtibue uone kama siyo dictator
Angekuwa dictator angukuacha uendelee kuzinzika?
 
Badirikeni=badilikeni

Acha kukariri maisha..
Mfumo dume ni muhimu..
Mfumo jike ni majanga...

Mwanamke kaumbwa kama msaidizi wa mwanaume na si zaidi ya hapo...
 
mtoa thread umepanic sana...ukitaka kumuelimisha mtu nenda nae taratibu sana na usigeneralizi kabl hujafanya utafiti
 
Utamthamini vipi mtu asiyejithamini yeye mwenyewe...!!!
Utamheshimu vipi mtu asiyejiheshimu...!!!

Vile watu wanavyokutendea au kukuchukulia maana yake ni kuwa wewe mwenyewe ndio umejijengea taswira hiyo mbele ya hao watu....

Mwanamke au kiumbe yeyote hapaswi kutumia nguvu wala mabavu kuipata heshima yako bali kujibadili wewe mwenyewe kwa kujiangalia kuwa unajikwaa wapi au wapi ulipokosea.....

Wanawake wamekuwa nembo ya shetani na kila aina ya ufirauni wa kishetani kwa kuwa wao wenyewe wameukumbatia ushetani wenyewe na kuufanya kuwa ni sehemu ya maisha yao.....
Leo hii mwanamke haoni aibu kukaa utupu hata mbele ya kadamnasi ya watu....leo hii mambo au maungo tuliyozoea kuyaona chumbani siku hizi yanaonekana hadharani.....leo hii mwanamke anaona fahari kumvulia mwanamme nguo hata kama hajamuoa.....
Leo hii mwanamke anaona fahari kujiuza au kuutumia mwili wake kama kitega uchumi kwa kisingizio cha maisha magumu kana kwamba dunia nzima inategemea yeye.....lakini ukitazama kwa undani kabisa hayo yote katika akili ya kawaida ni vigumu kuyafanya bila ya kuwa na msukumo ndani yako...na huyo si mwingine bali ni USHEITWANI.....kamwe hauwezi ukaenda kinyume na amri za muumba wako na ukabaki salama......
 
Shikamoo brother...jana tu nikiwa Barbershop baada ya kunyoa nikaenda kuoshwa na mdada,maneno niliyoambiwa na huyo mdada nilistaajabu,nikamuuliza yeye ni kabila gani. akatamka kabila ambalo ni langu,sikuamini.hawa viumbe ni shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…