sahihi kabisa mkuuHuwa inatokea. Sometimes unakuta kijana yupo matured kiasi kwamba amekutana na huyo brother sasa wamekuwa match kiakili dogo anamtumia huyo brother kama mentor wake na brother anamuona huyo dogo kama protégé wake....
So sioni cha ajabu. Watu wanakuzwa malezi tofauti kuna ambao makuzi yao yanawafanya wanaexperience mambo makubwa sana na majukumu kiasi kwamba akikaa na rika lake wanakuwa wanamfanya anajihisi yupo na watu wasio level yake ya upeo wa kufikiria.
So nothing wrong.
Kijana wa kike au kiume?Hi kitu imekaaje?
Mwanaume miaka 37 ameoa na anafamilia kua na urafiki na kijana wa miaka 25. Tena urafiki ule wa close kabisa kila sehem wako wote ikifika jion jamaa akitoka kazini kijana anaenda nae kwake wanakaa mpaka saa 4 usiku kijana anaondoka. Kama jamaa haendi kazini basi rafiki kijana ataenda kwa jamaa asubuh saa 3 mpaka usiku saa 4 Kama kutembea. Wanaenda pamoja
Mimi nauliza, je kwa mliioa hii nikawaida?
Wat huwa wanajaji negativeHuwa inatokea. Sometimes unakuta kijana yupo matured kiasi kwamba amekutana na huyo brother sasa wamekuwa match kiakili dogo anamtumia huyo brother kama mentor wake na brother anamuona huyo dogo kama protégé wake....
So sioni cha ajabu. Watu wanakuzwa malezi tofauti kuna ambao makuzi yao yanawafanya wanaexperience mambo makubwa sana na majukumu kiasi kwamba akikaa na rika lake wanakuwa wanamfanya anajihisi yupo na watu wasio level yake ya upeo wa kufikiria.
So nothing wrong.