Anna pita
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 227
- 427
Hi kitu imekaaje?
Mwanaume miaka 37 ameoa na anafamilia kua na urafiki na kijana wa miaka 25. Tena urafiki ule wa close kabisa kila sehem wako wote ikifika jion jamaa akitoka kazini kijana anaenda nae kwake wanakaa mpaka saa 4 usiku kijana anaondoka. Kama jamaa haendi kazini basi rafiki kijana ataenda kwa jamaa asubuh saa 3 mpaka usiku saa 4 Kama kutembea. Wanaenda pamoja
Mimi nauliza, je kwa mliioa hii nikawaida?
Mwanaume miaka 37 ameoa na anafamilia kua na urafiki na kijana wa miaka 25. Tena urafiki ule wa close kabisa kila sehem wako wote ikifika jion jamaa akitoka kazini kijana anaenda nae kwake wanakaa mpaka saa 4 usiku kijana anaondoka. Kama jamaa haendi kazini basi rafiki kijana ataenda kwa jamaa asubuh saa 3 mpaka usiku saa 4 Kama kutembea. Wanaenda pamoja
Mimi nauliza, je kwa mliioa hii nikawaida?
