Wanaume Embu Tuongee kltu

Wanaume Embu Tuongee kltu

Mohammed wa 5

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
1,294
Reaction score
3,188
Habari za wakati huu wana Jf i hope mko salama kabisa na poleni kwa harakati za kila siku za utafutaji..

Wanaume wezangu hebu tuweke kambi kidogo kwenye uzi huu..
Hivi mchepuko unampa pesa,gari na kumjengea nyumba alafu yeye anakupa mapenzi tu....wazee hii biashara kichaa isiokuwa na faida ni ushamba wa mapenzi au wanaume kuna mahali tunarogwa na michepuko...

Mwanaume real hivo vitu anafanya kwa mkeo yule ulimueka ndani sio hawa michepuko kwanza hawanaga mapenzi ya kweri..

Kama unaona ndoa imekushinda bora hizo hela uweke au uwekeze kwajili ya future ya badae kwa ajili ya watoto wako.

Nb: najua mtasema nitafute hela ila ngoja nikwambie nina kila kitu ambacho mwanaume inapaswa uwe navyo ukifika age go...(sio muhaya😁)

Ahsanteni sana
 
Mke wako unamuachia buku mbili ila jioni unakuta kapika wali kuku na huulizi katoa wapi kumbe kuna jamaa anakuhudumia wewe na mke wako
 
Mna underrate sana mapenzi aisee,mapenzi ni zaidi ya hvyo vitu ulivyotaja ,mapenzi yanakupa raha,amani na unakuwa mentality fit. Pesa na vitu vnginine ni tuvijipongez tudogotudogo tu hebu tupongezeni jmn
 
Ukiona mwanaume anahonga hayo kwa mchepuko ujue kwake ana zaidi ya hayo aliyo muhonga mchepuko hakunaga mwanaume bwege kiasi hicho
Nina ushaidi wa wanaume ambao kwake kulikuwa zero halafu mchepuko akampa kila kitu
 
Back
Top Bottom