Ukweli ni kwamba macho hayana pazia kuangalia sio kupenda ni mazoea yetu wanaume ni kuangalia mbele na nyuma kila anapopita mwanamke hata kama nyuma ni pasi kuna mengi tunayoangalia kama miguu ni ya chupa, kichwa, shingo na nywele kwa nyuma, mwendo na kadhalika kwa kusafisha macho tuu lakini sio kwamba tutamuhitaji wala nini na kama mtu atamuhitaji ni kwa hamu tuu sio ndoa, labda awe na vigezo vyote vinavyohitajika kuwa mke.