Jacob Harri
Member
- May 13, 2019
- 5
- 7
Waambie aise wananikera sana sometime, hutaki kuzaa naye unamwambia a nakuambia hakuna so sipati mimba kumbe anataka mimba daahTumieni condom acha kulalamika hapa.
Waambie aise wananikera sana sometime, hutaki kuzaa naye unamwambia a nakuambia hakuna so sipati mimba kumbe anataka mimba daahTumieni condom acha kulalamika hapa.
Eti unakuwa na mwanaume mnapeana raha mkiaahidiana mengi unamwambia babe na hamishwa kikazi na utakuwa unakuja huko kunisalimia .
Mtu anadai kuwa babe nitakupa kitu ambacho hutonisahau hata siku moja nini?
Wewe mpaka unaenda kwenye makazi yako mapya hujui nizawadi gani wiki kupita kama nne huoni period kumbe kaweka mazaga zaga yake .
Wanaume eleweni kabisa kuzaa ni mipango sio mtu tu unamfanya single mother kisa umeamua kumuachia mtu mtu mwingine wakumlea kumbuka atahitaji mengi .
Uzazi malezi na pia hayo malezi ya mtoto sio rahisi ila nyie mnaona rahisi.
Maisha ni magumu huu ukiritimba muache kabisa sio muwanyime wenzenu starehe zao na hamna mipango now ya mbele.
Unamjaza mtu upepo halafu baadae unadai unaona fresh so mwenzako alikuwa ni laboratory ya kutestiwa vitu halafu mnaofanya hivi niwatu naakili zao.
Wengine mmeoa tayari.
Sijui mnafikiriaga nini kweli acheni uharibifu.
wote sio wazuri kwanini asimwambie muhusika anunue condom zenye quality au kwanini ilipopasuka usimwambie atoe nyoka wakeImeshindikana kwani P2 ni masaa mawili inafanya kazi ila kwa sasa anamwezi ila nyie sio wazuri mnapotezaga dira za watu wengine.
Single mother baadhi wanajitakia wenyewe,wengine wakiamini kuwategeshea mimba wanaume hupelekea ndoa,kumbe sivyoSasa sioe halafu ufanye hivyo jamani kuliko kumfanya mwenzako single mother.
ha ha ha ha ha,usilalamike sasa katotoNiharibiwe mi nyanya
Hata akimwagiwa mdomoni hapati mkuuMwanamke mwenye akili zake timamu hawezi kupata mimba kirahisi kuna siku salama yani izo ata umwage ndani vp hawezi kupata mimba na kuna siku zahatari ukimwaga kosa hivyo mwanamke anaejielewa niyule anaecheza na siku zake utawakuta wachaxhe ndio wanaojua kucheza na siku zaoView attachment 1098692

Wewe sio mimiha ha ha ha ha,usilalamike sasa katoto
Hajabakwa jamaniKwani alikubaka???
Nyie acheni tu nitamuulizaSasa kama wewe unajua kuzaa ni mipango kwanini unatanua Papuchi hiyo na unakubali kumwagiwa tena na kilio cha utamu kolea juu?
ha ha ha nitakuja nikuoneWewe sio mimi
Njoo siunajua ninapoishi kwanza njoha ha ha nitakuja nikuone
Sasa kama hajabakwa lawama za Nini?Hajabakwa jamani
Kwanini uweke mashawawa yako bila mpangilio mwanaume anayempa mwanamke mimba bila mpangilio nikilaza.Sasa kama hajabakwa lawama za Nini?
simnaonaga matamuKwanini uweke mashawawa yako bila mpangilio mwanaume anayempa mwanamke mimba bila mpangilio nikilaza.
Sinaga mwanaume katika maishasimnaonaga matamu
Kumbe akili mnazo ila wavivu wa kuzitumia kabla ya tukio huwa inakuja baadae sana. Kwanza ilaiumu nafsi yako kwa kutokuwa sikivu. We toka utoto unafundishwa kuwa uzinzi ni dhambi we unakaza shingo unataka kuthibitisha. Yaani nyumba za ibada zimekuwa kama sehemu ya kwenda kufanya mauzo tu. Hayo ndo matokeo ya ubishi. Ila atukuzwe Mungu aishie milele amekupa fundisho amekuacha uwe hai kwani kuna wenzako uzinzi umewaua kabisaaa. Sasa utubu na kuacha dhambi kabisa. Akija mwanaume mzinzi ujue ni wakala wa shetani ukimwambia I love you too ujue umempenda tena shetani atakupa mshahara mwingine. Pole kwa yote Ila Mungu wa mbingu na nchi hatakuacha maana huyo mtoto ni Mali yake na atamtunza na kimlinda siku zote. Shaka ondoa huyo ndo baraka kipato choko ndani ya malango yako.Eti unakuwa na mwanaume mnapeana raha mkiaahidiana mengi unamwambia babe na hamishwa kikazi na utakuwa unakuja huko kunisalimia .
Mtu anadai kuwa babe nitakupa kitu ambacho hutonisahau hata siku moja nini?
Wewe mpaka unaenda kwenye makazi yako mapya hujui nizawadi gani wiki kupita kama nne huoni period kumbe kaweka mazaga zaga yake .
Wanaume eleweni kabisa kuzaa ni mipango sio mtu tu unamfanya single mother kisa umeamua kumuachia mtu mtu mwingine wakumlea kumbuka atahitaji mengi
Uzazi malezi na pia hayo malezi ya mtoto sio rahisi ila nyie mnaona rahisi.
Maisha ni magumu huu ukiritimba muache kabisa sio muwanyime wenzenu starehe zao na hamna mipango now ya mbele.
Unamjaza mtu upepo halafu baadae unadai unaona fresh so mwenzako alikuwa ni laboratory ya kutestiwa vitu halafu mnaofanya hivi niwatu naakili zao.
Wengine mmeoa tayari.
Sijui mnafikiriaga nini kweli acheni uharibifu.