Mijamaa ina nongwa hii..............!
Mijamaa ina nongwa hii..............!
Tena hao jamaa wasipotazamwa wengi wao wanadiriki hata kwenda kwa babu wakasafishe nyota. Kutazamwa kwao ni fahari.Mwanamke kutazamwa bana!! Wala hakuna ubaya atii!!
Mkuu sioni tatizo katika hilo, unategemea tufanye nini ikiwa hawa wenzetu wanakaa mbele ya kioo masaa kadhaa kujipamba, usipowaangalia inamaana huthamini kazi waliyofanya mbele ya kioo.
Mijamaa ina nongwa hii..............!
Tena akatize mwenye mpododo wa ukweli hapo naahirisha kabisa shughuli zangu zote.