Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Jamani kuna mijitu hapa Tanzania wanawake na wanaume ni mashetani hatari, kuna wasichana na wakaka , wadada , wamama, wababe kabla hawajalala husikilizia milango kupata picha maghetto yetu Yana me na ke ndani ili wasubirie chabo za kuona au kusikilizia miguno ya minyanduano.
Mashetani haya mengine kazi yao ni kufuatilia demu kaenda chumba gani, kwa nani, ni pisi ya aina gani, wanasikiliza hadi shoo inaendaje.
Hawa washirika wa vijiwe nongwa ni hatari sana, wanahesabu mademu na wana count down zote hawa mbwa, threesome zote wanajua, pair wanajua hizi game za single even orodha kama yote.
Nogesha kijiwe nongwa mkule mmojawapo au wawili kisha wajuane niite mbwa wasipovunja kijiwe nongwa.
Wadiz ndio mimi 🙏🙏🙏
Mashetani haya mengine kazi yao ni kufuatilia demu kaenda chumba gani, kwa nani, ni pisi ya aina gani, wanasikiliza hadi shoo inaendaje.
Hawa washirika wa vijiwe nongwa ni hatari sana, wanahesabu mademu na wana count down zote hawa mbwa, threesome zote wanajua, pair wanajua hizi game za single even orodha kama yote.
Nogesha kijiwe nongwa mkule mmojawapo au wawili kisha wajuane niite mbwa wasipovunja kijiwe nongwa.
Wadiz ndio mimi 🙏🙏🙏