Mikasa ya minyanduano tunapoishi na vijiwe nongwa vya majirani

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,411
11,061
Jamani kuna mijitu hapa Tanzania wanawake na wanaume ni mashetani hatari, kuna wasichana na wakaka , wadada , wamama, wababe kabla hawajalala husikilizia milango kupata picha maghetto yetu Yana me na ke ndani ili wasubirie chabo za kuona au kusikilizia miguno ya minyanduano.

Mashetani haya mengine kazi yao ni kufuatilia demu kaenda chumba gani, kwa nani, ni pisi ya aina gani, wanasikiliza hadi shoo inaendaje.

Hawa washirika wa vijiwe nongwa ni hatari sana, wanahesabu mademu na wana count down zote hawa mbwa, threesome zote wanajua, pair wanajua hizi game za single even orodha kama yote.

Nogesha kijiwe nongwa mkule mmojawapo au wawili kisha wajuane niite mbwa wasipovunja kijiwe nongwa.

Wadiz ndio mimi 🙏🙏🙏
 
Jamani kuna mijitu hapa Tanzania wanawake na wanaume ni mashetani hatari, kuna wasichana na wakaka , wadada , wamama, wababe kabla hawajalala husikilizia milango kupata picha maghetto yetu Yana me na ke ndani ili wasubirie chabo za kuona au kusikilizia miguno ya minyanduano.

Mashetani haya mengine kazi yao ni kufuatilia demu kaenda chumba gani, kwa nani, ni pisi ya aina gani, wanasikiliza hadi shoo inaendaje.

Hawa washirika wa vijiwe nongwa ni hatari sana, wanahesabu mademu na wana count down zote hawa mbwa, threesome zote wanajua, pair wanajua hizi game za single even orodha kama yote.

Nogesha kijiwe nongwa mkule mmojawapo au wawili kisha wajuane niite mbwa wasipovunja kijiwe nongwa.

Wadiz ndio mimi 🙏🙏🙏
dah,
wanaskilizia pwaaah pwaaah pwaaaah..... laap laaap laaap fokochofokofokochofokochoo mbruuuu bwiiiiiiip pwiiiiip kwenye vyumba vya watu dah
 
Back
Top Bottom