Jenerali Ambamba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 3,344
- 2,537
- Thread starter
-
- #21
Naomba kuuliza, kwani mme au mke akifariki pasipokuwa na wosia, ni nani anayestahili kurithi mali? Kwani hakuna sheria ya mirathi inayo-define warithi wa mali?
Ila ukifa ujue ushamaliza kazi yako hapa dunian na kimsingi huwezi tengenezea mtu yeyote maisha hapa dunian ili eti ukifa asiteseke.....Hakuna jema hata moja achia watoto urithi wa mali ukifa tu wanauza mali zote nadhan mifano ipo kibao....Wachia urithi mke wako baada ya wewe kufa atakutana na Manuu hapa nitamchanganya tutakula mali zako zote nkishamailiza namtema.....So take it easy na we ukifa umekufa tu kwan yanaoendelea mara baada ya vifo laiti marehemu wangepata wasaa wakufufuka walau dk 1 waone mali walizoacha zinavyotobolewa angekufa kwa mara ingine.
Swala la urithi ni kweli arithi baba au mama je ni vyema baba arithi mali ya mkewe alefu atumie kwa wanawake wengine au mama alithi mali ya mmewe atumie kwa wanaume wengine watoto warithi mali ya MZAZI wao MZAZI atunzwe na watoto wake kosa hapo watoto hawatunzi MZAZI wao wapumbavu
Jipange mnapokua hai kutegemea milasi ni kudumaza akili na kutafuta migogoro isio na sababu.
Watu wanatimba mahakamani kupapalikia milasi ata kaburi wanasahau kulimia loh! Binadamu sisi mungu atusaidie!.
Kuna Kisa kimoja nataka niwashirikishe.
Mkabala na Nyumba niliyohamia hivi karibuni baba mwenye nyumba alifariki dunia, baba huyu aliacha mke na watoto kadhaa, aliacha na mali zikiwemo Nyumba, sasa huyu baba ni mjita na mke wake ni mkerewe, Mama huyu baada ya mume kufariki ndugu walikuja na kugawa urithi kwa "watoto", wa marehemu, mama yao akapewa chumba kimoja tu, na watoto wakapewa chumba kimoja kimoja katika nyumba hyo, Nyumba ina vyumba 6, kila mtoto alipewa chumba kimoja na mama yao akapewa chumba kimoja, sasa watoto wamishaoa, na kuolewa lakini vyumba vyao wamepangisha wapangaji, na pesa zinazopatikana kwa kupangisha mama yao anawatumia huko walipo, Sasa unakuta kwa mfano nyumba au choo/bafu linahitaji ukarabati, pesa za kufanyia ukarabati hakuna, mama yao anaishi maisha ya shida, na anasema kuwa hizo ndo mila za wajita!! ebo.
Hivi kuna aja gani ya kugawa urithi kwa watoto wakati mzazi mmoja bado yu hai?
Vijana ambao hadi tunaoa bado tunang'ang'ania urithi wa wazazi wetu ni sahihi?
Kwa nini wanaume hata wanawake tusiandae wosia mapema hata wa mdomo tu?
Urithi ni wa watoto na mzazi anayebaki awe msimamizi tu.
Kuna Kisa kimoja
nataka niwashirikishe.
Mkabala na Nyumba niliyohamia hivi karibuni baba mwenye nyumba alifariki
dunia, baba huyu aliacha mke na watoto kadhaa, aliacha na mali zikiwemo
Nyumba, sasa huyu baba ni mjita na mke wake ni mkerewe, Mama huyu baada
ya mume kufariki ndugu walikuja na kugawa urithi kwa "watoto", wa
marehemu, mama yao akapewa chumba kimoja tu, na watoto wakapewa chumba
kimoja kimoja katika nyumba hyo, Nyumba ina vyumba 6, kila mtoto alipewa
chumba kimoja na mama yao akapewa chumba kimoja, sasa watoto wamishaoa,
na kuolewa lakini vyumba vyao wamepangisha wapangaji, na pesa
zinazopatikana kwa kupangisha mama yao anawatumia huko walipo, Sasa
unakuta kwa mfano nyumba au choo/bafu linahitaji ukarabati, pesa za
kufanyia ukarabati hakuna, mama yao anaishi maisha ya shida, na anasema
kuwa hizo ndo mila za wajita!! ebo.
Hivi kuna aja gani ya kugawa urithi kwa watoto wakati mzazi mmoja bado
yu hai?
Vijana ambao hadi tunaoa bado tunang'ang'ania urithi wa wazazi wetu ni
sahihi?
Kwa nini wanaume hata wanawake tusiandae wosia mapema hata wa mdomo
tu?
Kuna Kisa kimoja nataka niwashirikishe.
Mkabala na Nyumba niliyohamia hivi karibuni baba mwenye nyumba alifariki dunia, baba huyu aliacha mke na watoto kadhaa, aliacha na mali zikiwemo Nyumba, sasa huyu baba ni mjita na mke wake ni mkerewe, Mama huyu baada ya mume kufariki ndugu walikuja na kugawa urithi kwa "watoto", wa marehemu, mama yao akapewa chumba kimoja tu, na watoto wakapewa chumba kimoja kimoja katika nyumba hyo, Nyumba ina vyumba 6, kila mtoto alipewa chumba kimoja na mama yao akapewa chumba kimoja, sasa watoto wamishaoa, na kuolewa lakini vyumba vyao wamepangisha wapangaji, na pesa zinazopatikana kwa kupangisha mama yao anawatumia huko walipo, Sasa unakuta kwa mfano nyumba au choo/bafu linahitaji ukarabati, pesa za kufanyia ukarabati hakuna, mama yao anaishi maisha ya shida, na anasema kuwa hizo ndo mila za wajita!! ebo.
Hivi kuna aja gani ya kugawa urithi kwa watoto wakati mzazi mmoja bado yu hai?
Vijana ambao hadi tunaoa bado tunang'ang'ania urithi wa wazazi wetu ni sahihi?
Kwa nini wanaume hata wanawake tusiandae wosia mapema hata wa mdomo tu?
Mali za mwanamke kama mume yupo hakuna shemeji anayeweza kuja kuleta kibesi. Ndo maana huwezi sikia migogoro ya aina hiyo. Labda siku za mbeleni maana life limebadilika hivi majuzi tu.Wosia ni kitu ya muhimu sana;
Na kwanini umesema wanaume; hata wanawake wana mali pia, au haujui?
Kuna Kisa kimoja nataka niwashirikishe.
Mkabala na Nyumba niliyohamia hivi karibuni baba mwenye nyumba alifariki dunia, baba huyu aliacha mke na watoto kadhaa, aliacha na mali zikiwemo Nyumba, sasa huyu baba ni mjita na mke wake ni mkerewe, Mama huyu baada ya mume kufariki ndugu walikuja na kugawa urithi kwa "watoto", wa marehemu, mama yao akapewa chumba kimoja tu, na watoto wakapewa chumba kimoja kimoja katika nyumba hyo, Nyumba ina vyumba 6, kila mtoto alipewa chumba kimoja na mama yao akapewa chumba kimoja, sasa watoto wamishaoa, na kuolewa lakini vyumba vyao wamepangisha wapangaji, na pesa zinazopatikana kwa kupangisha mama yao anawatumia huko walipo, Sasa unakuta kwa mfano nyumba au choo/bafu linahitaji ukarabati, pesa za kufanyia ukarabati hakuna, mama yao anaishi maisha ya shida, na anasema kuwa hizo ndo mila za wajita!! ebo.
Hivi kuna aja gani ya kugawa urithi kwa watoto wakati mzazi mmoja bado yu hai?
Vijana ambao hadi tunaoa bado tunang'ang'ania urithi wa wazazi wetu ni sahihi?
Kwa nini wanaume hata wanawake tusiandae wosia mapema hata wa mdomo tu?