Northern empire
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 358
- 459
- Thread starter
- #21
Kwani tatizo lipo wapi? Hata huyo ambae hajazaa anaweza kuwa ashapita kwa wanaume zaidi ya mia nane na mimba kashatoa kama zotee.. Af we unajisif umeoa kigoriKwahiyo kwa akili yako, kijana "fresh" wa kiume unaanzaje kuoa single maza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app