Wanaume acheni hii tabia sio nzuri

I know your not for this honey but kuona mtu ambae ni rafiki yangu upo na kimahusiano hiyo ni vita ya 3 ya dunia ujue kwanza nimekumbuka marafiki zangu wote wapo kwenye ndoa haitotokea
Nimeuliza mswali mengi sana ambayo hujayajibu.

Ni wazi ukiwa na rafiki wa karibu aliyehusika kwa mengi kuna attachments nyingi ambazo zinaweza kufanya mahusiano naye yasiwe jambo zuri.

Hata kama unataka kuepuka drama tu.

Lakini hujajibu maswali yangu mengi sana.

Mathalani, vipi kuhusu rafiki anayeona kilichotokea si haki na akaamua kuvunja urafiki na rafiki yake huyo ambaye kamuona hayawani, na kuanzisha uhusiano na mwanamke kwa nia nzuri?

Huoni kwamba kukataza mahusiano hapo kunamnyima haki mwanamke ambaye atahitaji mahusiano na mwanamme ambaye atahitaji mahusiano, wakati pingamizi la urafiki halipo (mwanamme kashavunja urafiki).

Nilikuwa naangalia sinema moja, bosi alimpenda binti mmoja, lakini yule binti alikuwa muajiriwa wake. Bosi alipomtongoza binti, binti akakataa, kwa vile yule binti ni muajiriwa wa bosi . Na kanuni za kazi zinakataa mahusiano kati ya bosi na muajiriwa (dada zetu wengine chukueninsomo la kuheshimu kanuni za kazi hapo). Bosi akasema umesema vizuri. Jiuzulu kazi, nakufungulia biashara. Tuendeleze penzi. Kwa minajili hiyo, utakuwa moenzi wangu halafu pia nitakuwa sijavunja kanuni za kunitaka nisiwe na mahusiano na muajiri wangu.

Bosi alivunja kipingamizi kwa kumtoa binti kwenye ajira.

Rafiki akivunja kipingamizi kwa kumaliza urafiki wake, hapo itakuwaje?

By the way, I am analyzing this conceptually. I am not saying I am for this or that.
 
I know your not for this honey but kuona mtu ambae ni rafiki yangu upo na kimahusiano hiyo ni vita ya 3 ya dunia ujue kwanza nimekumbuka marafiki zangu wote wapo kwenye ndoa haitotokea

Socrates said "the unexamined life is not worth living".

I am merely examining.

One central principle (an exception that proves the rule, not a contradiction) I have in life is that, it is wrong to draw broad and overarching conclusions based on very limited and flimsy experiences, evidence and justification.

Things are much better if conclusions are drawn from specific incidents,related justification and relevant experience.

Otherwise kwa hizi broad rules, wajane wa vijijini watashindwa kupata nafasi za kuolewa tena, kuna vijiji watu wa rika moja wote marafiki, sasahapo mtu akiachika au mume kufariki, mjane asiolewe?

Kuna bidada mmoja alikuwa machachari sana high school. Mchaga. Akasema yeye maishani mwake hawezikuwa na bwana Muhaya.

Masela tuka take note. Tukasema sawa bibie. Una haki za kikatiba pamoja na Universal Declaration of Human Rights kuchagua unayemtaka, hata kama haki zinakataza ubaguzi wa kufuata ukabila, si kwa suala la kuamua unayempenda.

Basi, muda si mrefu mara mchizi wangu mmoja, smooth operator, yani huyo unavyowezakumuona Kiranga ni kipanga,basi huyo alikuwa zaidi. Yani mchizi wakati tuna rap, pale tuliposhindwa kuwasikia "Naughty by Nature" wanasemaje, kwa sababu wana rap Kiingereza cha Kimarekani sana halafu kinakuwa fast sana, huyo mchizi ndiye alikuwa anatuandikia mashairi yote mpaka tunaelewa "Naughty by Nature" hapa wamesema nini, tunakariri, na sisi tuna rap OPP. Kifupi alikuwa Kiranga wa Kiranga wakatihuo.

Basi, mchizi akaanza kutupa lyrics zake za "coast to coast, L.A to Chicago, western male" kama alivyoimba Sade wakati bado tupo Africa.

Hee, bidada si akanogewa.Akasahau yamini zote alizokula juu ya Wahaya.

Na sisi kwa ulimbwende thabiti wa uadilifu wa kiumeni, tukaona kumkumbusha si staha, ila tukawa tunaambizana wenyewe. Mazee, ile yamini dhidi ya Wahaya iliishia wapi?

Msela mmoja akasema, ililainishwa na busu za tathmini zilizonyamazisha upinzani wote kama sinema ya James Bond!

Hatuongelei mwanamme kuwa na mahusiano na rafiki yako wakati uko namahusiano na mwanamme huyo.

Tunaongelea mwanamke aliyeachwa na mwanamme A, uhalali wa mwanamke huyokuwa na uhusiano na rafiki wa mwanamme A.
 
Last edited:
Na mimi naongelea uhalali wa wewe kuniacha halafu ukaenda kuwa na mahusiano na rafiki yangu,nahisi nlichanganya mada
Socrates said "the unexamined life is not worth living".

I am merely examining.

One central principle I have in life is that, it is wrong to draw broad and overarching conclusions based on very limited and flimsy experiences, evidence and justification.

Kuna bidada mmojaalikuwa machachari sana high school. Mchaga. Akasema yeye maishani mwake hawezikuwa na bwana Muhaya.

Masela tuka take note. Tukasema sawa bibie. Una haki za kikatiba pamoja na Universal Declaration of Human Rights kuchagua unayemtaka, hata kama haki zinakataza ubaguzi wa kufuata ukabila, si kwa suala la kuamua unayempenda.

Basi, muda si mrefu mara mchizi wangu mmoja, smooth operator, yani huyo unavyowezakumuona Kiranga ni kipanga,basi huyo alikuwa zaidi. Yani mchizi wakati tuna rap, pale tuliposhindwa kuwasikia "Naughty by Nature" wanasemaje, kwa sababu wana rap Kiingereza cha Kimarekani sana halafu kinakuwa fast sana, huyo mchizi ndiye alikuwa anatuandikia mashairi yote mpaka tunaelewa "Naughty by Nature" hapa wamesema nini, tunakariri, na sisi tuna rap OPP. Kifupi alikuwa Kiranga wa Kiranga wakatihuo.

Basi, mchizi akaanza kutupa lyrics zake za "coast to coast, L.A to Chicago, western male" kama alivyoimba Sade wakati bado tupo Africa.

Hee, bidada si akanogewa.Akasahau yamini zote alizokula juu ya Wahaya.

Na sisi kwa ulimbwende thabiti wa uadilifu wa kiumeni, tukaona kumkumbusha si staha, ila tukawa tunaambizana wenyewe. Mazee, ile yamini dhidi ya Wahaya iliishia wapi?

Msela mmoja akasema, ililainishwa na busu za tathmini zilizonyamazisha upinzani wote kama sinema ya James Bond!

Hatuongelei mwanamme kuwa na mahusiano na rafiki yako wakati uko namahusiano na mwanamme huyo.

Tunaongelea mwanamke aliyeachwa na mwanamme A, uhalali wa mwanamke huyokuwa na uhusiano na rafiki wa mwanamme A.
 
Na mimi naongelea uhalali wa wewe kuniacha halafu ukaenda kuwa na mahusiano na rafiki yangu,nahisi nlichanganya mada
Wewe uachwe tena?

Hiyo ni hesabu ya "division by zero".
 
My friend's ex is waaay off my limits!

That's my principle, ila sio lazima na wengine waamini hivyo.

Japo sometimes unakuta mnaclick poa sana na ex wa rafiki au nduguyo, but for me that's not my cup of tea!
 
aaaaa ahsante nimepita hilo ndo nlikuwa nataka kusikia
Yani unaanzisha dhoruba hivi hivi kuangalia kama mabaharia wenye upendo na nahodha wao wataikabili?

Sikindee, ngoma ya ukaee..
 
Marafiki wa mume/ mpenzi kukutongoza mara mahusiano yanapovunjika sio tabia nzuri
Labda alikuwa anakupenda na hakuweza kusema kutokana na urafiki na jamaa yako
Sasa ukiachwa si ndio mahala pake kukupenda ili hisia zake zitimie
Kupenda raha jamani
 
Kinachosababisha Ayo yote ni kua ukiwa unaadisia watu mambo anayokupa mpenz wako ndo watu wanatk kujarbu
 
Kanuni ya mahusiano inasema mtu ambaye si ndugu wa damu mnapokuwa karibu kwa muda huo huyo anahesabika ni ndugu na huyo rafiki anakuwa ni msuluhishi wa migogoro pale unapotokea

Kwa nini anakuwa rafiki awe msuluhishi wa migogoro kuliko ndugu ili kusiwepo biasness

Unapokuwa na mtu kwenye urafiki huku ukiwa na wazo la kumchukulia mke au mume wake umekuwa umevunja kanuni ya mahusiano ni bora usingekuwa na mahusiano na huyo rafiki yako coz kupitia kwake ndo umenifahamu so bora umheshimu

Hapa Sijakubaliana na wewe kabisa.
Hebu tujaribu kuwa wakweli, unaweza je kusulushisha mgogoro ambao hujaombwa kusuluhisha?
Kitu kingine hakuna dhambi kubwa kam kuwa mshuluhishi wa jambo ambalo unajua moja wa watu hao wawili hamfai mwenzake. huo utakuwa unafiki.

Huu uzi umenilenga kwa 90% kwa sababu I had a similar case juzi tu.
hebu jaribu kusoma vizuri comments za [TAG]Kiranga[/TAG] Ukizielew utavuna kitu hapo.
 
Mi nadhani wanaume wengi wanakuwaga na fantasy ya kuwakaza madem wa wenzao.... And vice versa!

Ama sijui ni inferiority complex anataka ajione superior kuliko mwanamme mwenzie akishafanikiwa katika hilo?

Binafsi ningeshauri waliopo kwenye mahusiano wapunguze mazoea na shemeji zao aisee. Kuna watu wana mazoea mpaka unajiuliza heshima itakuwepo kweli.
 
Hapa Sijakubaliana na wewe kabisa.
Hebu tujaribu kuwa wakweli, unaweza je kusulushisha mgogoro ambao hujaombwa kusuluhisha?
Kitu kingine hakuna dhambi kubwa kam kuwa mshuluhishi wa jambo ambalo unajua moja wa watu hao wawili hamfai mwenzake. huo utakuwa unafiki.

Huu uzi umenilenga kwa 90% kwa sababu I had a similar case juzi tu.
hebu jaribu kusoma vizuri comments za [TAG]Kiranga[/TAG] Ukizielew utavuna kitu hapo.
Kwa nini tunakuwa na marafiki? Ukijibu hilo nitajua umeelewa ninachomaanisha
 
Ukiona hivyo ujue hao wanaume wote wawili tabia zao zinafanana...ukikubali tu kwenda kwa rafiki yake, ujue utayakuta yaleyale uliyaacha kwa yule uliyempenda.Ushauri:Mwombe Mungu akupe aliye sahihi ila nawe uwe sahihi.
 
Back
Top Bottom