Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,039
[emoji120]Viatu vya Samaki
Acheni bana nyie wanaume bana haifai kurushiana maneno hivyo uzi umegeuka uwanja wa vita ghafla hamuonani mnapoteza nguvu za nn nyuma ya keyboard kujibizana hivo?
Alivokuchokonoa umejisikiaje
[emoji120]
Viatu vya Samaki
Acheni bana nyie wanaume bana haifai kurushiana maneno hivyo uzi umegeuka uwanja wa vita ghafla hamuonani mnapoteza nguvu za nn nyuma ya keyboard kujibizana hivo?
Lengo lake anipangie cha kuandika kama yeye ndio mmiliki wa Jamiiforums
Haujapangiwa, haya basi yaishe jamani sasa wanaume hua hawarushiani maneno na hata hivo mnajibizana hamjuani nini mnapoteza nguvu kwa vitu visivyo mana?
Mpe elimu huyo kichaa aache kuniquote kabisa kama haelewi ninacho andika.
YAANI NINGETAZAMA MAPEMA AVATAR WALA NISINGEJIBIZANA NAYE:
Naombeni kusamehewa nimeingia kwenye mtego wa mgonjwa wa akili aliyetoka hospitali kufanyiwa majaribio ya uponaji wake.
Madame huu ulimwengu una siri kubwa sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu lala acha vurugu ushasamehewa
YAANI NINGETAZAMA MAPEMA AVATAR WALA NISINGEJIBIZANA NAYE:
Naombeni kusamehewa nimeingia kwenye mtego wa mgonjwa wa akili aliyetoka hospitali kufanyiwa majaribio ya uponaji wake.
Madame huu ulimwengu una siri kubwa sana.
Sasa wewe ndio una tatizo huyo unaemwita kichaa hajasema kitu chochote kile wewe mzima ndio bado ngoma hutaki ilale? Mkuu hebu nyamaza mbona unakua kama sio mwanaume? Unamwita kichaa angeweza kutumia jf kweli kama angekua kkchaa?? Sio vizur unapoambiwa jambo jaribu kutafakari hiki ukifanyacho sio sahihi
Kabisa, tena wabaya kweli.Ndio ulimwengu sio mbaya lakini watu ndio wabaya
Yeye mwenyewe anaendelea na kichaa chake anashangaa vitu ambavyo anapenda sana.
Mimi sifichi napenda sana kutia kuliko vitu vingine.
Kabisa, tena wabaya kweli.
Hayo mimi hayanihusu we tia utakavyo lakini wanaume hua hawako hivi nyie mmeumbiwa mioyo migumu hizi mambo za kurushiana maneno ni sisi watoto wa kike tunafanya
Kweli kabisa.Unaishi nao hivo hivo wajua kama binadam sote tungekua tunafanya mema tu kusingekua na kitu cha kujifunza kwa kweli ndio mana tuko tofauti kuna wabaya na wazuri ili tupate kujifunza miongoni mwetu na hasa mtu ukishamsoma tu unajua namna ya kumuepuka
Sawa ngoja nikaoge ili nijiandae kutafuna hapa kuna mtu amefika tayari kwa kazi maalum ya usiku.
Kweli kabisa.