Wakuu,
Hawa wana "UKAWA" wa Scotland walionekana mambo yao yatakuwa shwari na watawadanganya wapiga kura wakubaliane nao lakini wengi walishtuka na kupiga kura za "No to Independence!"
Huku kwetu nako wana-UKAWA wa kikweli kweli wanaamini kuwa watawashawishi watu wakubaliane na Serikali 3 (= kuvunja Muungano) lakini hila zao zitashindwa vibaya baada ya kura za maoni ili kupigia kura Katiba Mpya!
Poleni sana wana-UKAWA! Watu wameshaamka, wamegundua hila zenu!
Yote umesema tumekuelew. Sasa hebu itisha kura ya maoni Zanzibar uone kitu. Scotland wana kila kitu ktk muungano wao. Pia muungano wao ni nchi 4 na kuna kila nchi ina serikali. Ndo maana hata FIFA wamo. Ila wana serikali ya shirikisho ya United Kindom