Wanatwangwana baada ya kumfumani......

Wanatwangwana baada ya kumfumani......

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,092
264330_377093745693450_973588693_n.jpg


552684_209775489154797_363543882_n.jpg
 
dume zima lagaragazwa na binti, loh aibu
 
Sio fumanizi hilo, jamaa kanywea pombe hela ya upatu ya mkewe!
 
Jamaa lazima kakopa kopo la kangara halafu hataki kulipa ; mama muuza kaamua kumpa kichapo!!
 
nahisi mayai kuliwa yangali mabichi.
 
huyu mwanamme gani anakunjwa namna hiyo!!anashindwa hata kumng'ata!!!
 
Ukiangalia picha vizuri mwanaume ni mlemavu wa mkono nadhani ndio maana kampata sio kirahisi natamani ningekuwepo huyo mwanamke angenikoma kuonea walemavu!
 
umekunywa ulansi wangu kulipa hutaki, leo ndo utanitambua nakwambia
 
mhh wenzenu ndo wako foreplay nyie mnasema wanapigana....:juggle:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom