Wanasimba waikataa live CCM jana

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,742
Reaction score
5,081
Wanasimba jana wamefanya tukio ngumu sana ni mara baada ya msigwa kumtwangia simu mgombea urais wa CCM Samia watu waligoma kabisa kuitikia salamu ya mgombea huyo.

Kwangu ni jambo zuri sana tuko tunaenjoy zetu mpira wewe unatuletea siasa
Conclusion: Akili za watz zimeanza kuchangamka sasa

Asilimia 90% ya wakazi wa dar hawaipendi ccm fullstop unabisha ulikuepo??😁
 
Mkoani utawambia nini wameshapewa baiskeli🀣🀣🀣 na vitenge
Mkoani mara nyingi ndo wanachagua wabunge kutoka upinzani ilhali Dar ndiyo inaongoza kwa kuchangua wabunge wa CCM.
 
Zile clip ni za kweli au AI?
 
Subiri utopolo A.K.A mbogamboga Fc wasikie mama kapiga simu watakavyokua na shobo, wazee wa kuchangia Ccm
 
Watu walimkaushia hadi akaona soo msigwa Mo akaja akaivungis vungia ooh mama ooh rais watu ziiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…