Mods naomba mnirekebishie tittle isomeke Wanasimba
Sasa ndugu umesahau kwamba mleta Uzi ni mbumbumbu? (In Rage's voice)wapumbavu pekee ndio watakaoishangilia Zesco,
Jina lako linasadifu maisha yako
Mwaka 1989 ulikuwa na umri gani? Nauliza hivyo kwa sababu timu yako ya Simba ilikuwa ishuke daraja na RTC Kigoma ikaokolewa na Yanga. Leo mwokozi wako unamsusia, akili yako iko sawa kweli?Siku ya Jumamosi timu ya Zesco kutoka Zambia itacheza na Yanga Sports Club kwenye dimba la Mkapa.
Timu ya Zesco ndipo anapochezea kaka wa triple C kiungo mahiri wa clab ya Simba Adrian Chota Chama (ACC)
Adrian ni beki wa kutumainiwa wa kikosi cha ZESCO ambacho wakati wowote kitawasili nchini kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Yanga ambao utapigwa Jumamosi
Familia na Mzee Chota imebarikiwa kuwa na vijana hao ambao wana vipaji vya hali ya juu katika kusakata kabumbu
Ntakuwa taifa jukwaa pendwa la wanamsimbazi ndani ya uzi wa Zesco.
Wapumbavu kama wale waliokuwa wanashangilia UD SONGOwapumbavu pekee ndio watakaoishangilia Zesco,
Mods naomba mnirekebishie tittle isomeke Wanasimba
Huyu nae mzima kweli?Siku ya Jumamosi timu ya Zesco kutoka Zambia itacheza na Yanga Sports Club kwenye dimba la Mkapa.
Timu ya Zesco ndipo anapochezea kaka wa triple C kiungo mahiri wa clab ya Simba Adrian Chota Chama (ACC)
Adrian ni beki wa kutumainiwa wa kikosi cha ZESCO ambacho wakati wowote kitawasili nchini kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Yanga ambao utapigwa Jumamosi
Familia na Mzee Chota imebarikiwa kuwa na vijana hao ambao wana vipaji vya hali ya juu katika kusakata kabumbu
Ntakuwa taifa jukwaa pendwa la wanamsimbazi ndani ya uzi wa Zesco.
Ahahahaha umebebwa kucheza Klabu bingwa wakati wewe si bingwa.Mwaka 1989 ulikuwa na umri gani? Nauliza hivyo kwa sababu timu yako ya Simba ilikuwa ishuke daraja na RTC Kigoma ikaokolewa na Yanga. Leo mwokozi wako unamsusia, akili yako iko sawa kweli?
Msisahau kuvaa jezi za UD Songo.Siku ya Jumamosi timu ya Zesco kutoka Zambia itacheza na Yanga Sports Club kwenye dimba la Mkapa.
Timu ya Zesco ndipo anapochezea kaka wa triple C kiungo mahiri wa clab ya Simba Adrian Chota Chama (ACC)
Adrian ni beki wa kutumainiwa wa kikosi cha ZESCO ambacho wakati wowote kitawasili nchini kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Yanga ambao utapigwa Jumamosi
Familia na Mzee Chota imebarikiwa kuwa na vijana hao ambao wana vipaji vya hali ya juu katika kusakata kabumbu
Ntakuwa taifa jukwaa pendwa la wanamsimbazi ndani ya uzi wa Zesco.
Nyie wa kuja ndio mnafanya huo umama..born here here hatuwezi kwenda mechi ya Simba TaifaSiku ya Jumamosi timu ya Zesco kutoka Zambia itacheza na Yanga Sports Club kwenye dimba la Mkapa.
Timu ya Zesco ndipo anapochezea kaka wa triple C kiungo mahiri wa clab ya Simba Adrian Chota Chama (ACC)
Adrian ni beki wa kutumainiwa wa kikosi cha ZESCO ambacho wakati wowote kitawasili nchini kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Yanga ambao utapigwa Jumamosi
Familia na Mzee Chota imebarikiwa kuwa na vijana hao ambao wana vipaji vya hali ya juu katika kusakata kabumbu
Ntakuwa taifa jukwaa pendwa la wanamsimbazi ndani ya uzi wa Zesco.