Wanasimba popote mlipo kuweni macho

Kwa akili hizi, Wacha bandari ziuzwe
Tumekemea sana kuuzwa kwa bandari kwenye majukwaa ya siasa,bado bandari ikauzwa.
Kuna watu wanashinda kule jukwa la siasa,sijui wewe mwenzetu unaogopa Nini huko na umeng'ang'ania huku.
 
Hali ndio kama hivi,lakini bado naona Simba atamshinda RS Berkane huko Znz.
 

View: https://vm.tiktok.com/ZMSFxCkHm/
 
Haya ndiyo mambo ccm wanapenda kuona waTanganyika masikini mkikesha nayo usiku na mchana
Hawataki wajadili kuwa Tanzania hii tunaweza kulima na kuzalisha matairi ya boda boda, dala dala na malori hata yasitoke China na watu wakapata hela.
 
Reactions: K11
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…