Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,322
- 33,126
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td align="left"><table bgcolor="#dddddd" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" height="23" width="100%"><tbody><tr><td width="10">
</td> <td width="606">
</td> <td align="right" width="139">
</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
</td> </tr> <tr> <td class="shortnews" align="left" bgcolor="#ffffff" valign="top">
Katika kile kinachoonyesha sasa wanasiasa wa nchini Italia wamecharuka kwa kutaka maendeleo, hivi karibuni maofisa wa Manispaa wa jiji la Rome, walikusanyika na kufanya maandamano kwa kuvua suruali zao wakilazimisha kupita kwa bajeti ya nchi hiyo kwa mwaka 2010.
Moja kati ya bango walilokuwa wamebeba lilisomeka "Maeneo ya kupaki na bustani zimevunjwa", "Watu hawana makazi
Meya Sandro Medici wa Cinecitta alimtaja mwanasiasa Alemanno aliyekataa kupitishwa kwa bajeti hiyo kutokana na kudai kuwa na kodi ambazo sio za msingi.
http://www.globalpublisherstz.com/
</td></tr></tbody></table>
</td> <td width="606">
</td> <td align="right" width="139">
</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
<!--ThumbBegin-->
<!--ThumbEnd-->
Wanasiasa wa jiji la Roma wakionyesha nguo zao za ndani walipokuwa wakipinga sera ya Gianni Alemanno aliyegoma kupitisha bajeti ya mji huo.
Wanasiasa wa jiji la Roma wakionyesha nguo zao za ndani walipokuwa wakipinga sera ya Gianni Alemanno aliyegoma kupitisha bajeti ya mji huo.
Katika kile kinachoonyesha sasa wanasiasa wa nchini Italia wamecharuka kwa kutaka maendeleo, hivi karibuni maofisa wa Manispaa wa jiji la Rome, walikusanyika na kufanya maandamano kwa kuvua suruali zao wakilazimisha kupita kwa bajeti ya nchi hiyo kwa mwaka 2010.
Moja kati ya bango walilokuwa wamebeba lilisomeka "Maeneo ya kupaki na bustani zimevunjwa", "Watu hawana makazi
Meya Sandro Medici wa Cinecitta alimtaja mwanasiasa Alemanno aliyekataa kupitishwa kwa bajeti hiyo kutokana na kudai kuwa na kodi ambazo sio za msingi.
http://www.globalpublisherstz.com/
</td></tr></tbody></table>