Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,582
- 284,132
Hii ni kutokana na kauli ya kinyama aliyoitoa kwa IGP Sirro ya kupambana na wanasiasa. Mbaralah Maharagande ambaye ni Mkurugenzi wa habari na uenezi wa CUF na Mwita Waitara wa CHADEMA wameielezea kauli ya Mahita kama iliyopitwa na wakati wamemuomba aelekeze vyama vifutwe badala ya kudhibitiwa kama anavyotaka.
Chanzo - Mwananchi
Chanzo - Mwananchi