Mauntana
Member
- Mar 10, 2012
- 81
- 14
Ukosefu wa ajira umekithiri nchini.
Na pale ajira inapopatikana basi inakuwa ni majanga zaidi. Najiuliza kama hawa EROLINK ni wakina nani wanalipwa mishahara ya wafanyakazi wao na kuwapa only 10% wafanyakazi na wanachukua asilimia 90 ya mshahara.
Jamani ubepari umevuka mipaka Tanzania. Kama kuna wanasiasa wa kuliongelea hili basi watusaidie. Iwe CCM au CHADEMA.
Na pale ajira inapopatikana basi inakuwa ni majanga zaidi. Najiuliza kama hawa EROLINK ni wakina nani wanalipwa mishahara ya wafanyakazi wao na kuwapa only 10% wafanyakazi na wanachukua asilimia 90 ya mshahara.
Jamani ubepari umevuka mipaka Tanzania. Kama kuna wanasiasa wa kuliongelea hili basi watusaidie. Iwe CCM au CHADEMA.