johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Ni Wakati sasa Wananchi kama Wananchi kujianzishia mchakato Wao wa Kupata Katiba mpya
Wanasiasa wameshapewa haja ya mioyo yao ambapo sheria zao za Uchaguzi watarekebishiwa kwenye Vikao Vya bunge vijavyo
Mlale Unono 😃😃
Wanasiasa wameshapewa haja ya mioyo yao ambapo sheria zao za Uchaguzi watarekebishiwa kwenye Vikao Vya bunge vijavyo
Mlale Unono 😃😃