Vipi na Ile kiongozi anazindua mradi au program fulani halafu msururu wa viongozi wa Dini wanaanza kufungua, unaweza kuta maaskofu hata 10 kutoka Makanisa mbalimbali na Shehe mmoja kutoka kwa Waislam
Haya mambo hayatakiwi kuwepo, Kama Ni kuombea Basi anatakiwa atoke mtu mmoja tu aombe maombi ambayo yapo neutral maana wote wanaamini Mungu
Mfano shuleni kwetu kipindi Cha mtihani alitoka mtu mmoja anaomba kwa niaba ya Dini zote kwa Sala ambayo sio ya Kikristo Wala Kiislam Bali ya kumuomba Mungu, Kama Haiwezekani Basi haya maombi yapigwe marufuku, Ni kupoteza muda