Wiki jana nilikuwa Posta DAr kwenye hicho kituo ambacho wanasiasa wanakisifia eti ni "one stop center" ambacho kinahusisha Maafisa Biashara, watu wa Brela, RITA, TRA, NIDA, Benki ya CRDB na taasisi zingine.
Ukweli hao watu baadhi yao wana maneno yale yale kama ambavyo walikuwa kwenye Ofisi zao.
Sidhani hawa watu kama wanapata incentive za ziada ili kuwafanya wafanye kazi kwa kuacha mazoea. Wako slow na baadhi yao ambao wanaonekana wako active ni wale tu ambao wanatoka Taasisi zinazolipa vizuri lakini wengine ni zero kabisa.
Leo nimetembelea Dodoma One Stop Center bahati nzuri hapo hapajawa na mlundikano wa wateja kama Dar lakini wafanyakazi wake bado hawajaonekana kama wapo tofauti na wale waliopo kwenye ofisi husika. Ninachokiona sisi bado sana yaaani.
Huduma ambayo nilianza nayo Dar nikitegemea itaisha ndani ya majuma mawili sasa inaoenekana itaisha baada ya miezi mitatu au mine.
Ninarudi Dar bila mafanikio ya asilimia 100. Bongo yetu hiyo - siasa mingi sana!
Ukweli hao watu baadhi yao wana maneno yale yale kama ambavyo walikuwa kwenye Ofisi zao.
Sidhani hawa watu kama wanapata incentive za ziada ili kuwafanya wafanye kazi kwa kuacha mazoea. Wako slow na baadhi yao ambao wanaonekana wako active ni wale tu ambao wanatoka Taasisi zinazolipa vizuri lakini wengine ni zero kabisa.
Leo nimetembelea Dodoma One Stop Center bahati nzuri hapo hapajawa na mlundikano wa wateja kama Dar lakini wafanyakazi wake bado hawajaonekana kama wapo tofauti na wale waliopo kwenye ofisi husika. Ninachokiona sisi bado sana yaaani.
Huduma ambayo nilianza nayo Dar nikitegemea itaisha ndani ya majuma mawili sasa inaoenekana itaisha baada ya miezi mitatu au mine.
Ninarudi Dar bila mafanikio ya asilimia 100. Bongo yetu hiyo - siasa mingi sana!