Wanasheria wetu hamna kitu

Hamna kitu huku wako mbali kwa 200M
kama walivyoamuliwa

 

Shetani we, mwanasheria hawezi jibu mavi hayo.
 
Reactions: Art

Ebu watake radhi bana!

Unaujua mfumo wetu kweli au unakaa Ulaya?

Ukiangalia hiyo picha na hayo maandishi sijui utapata picha gani?





 

ICJ ili uweze kwenda inabidi mpigane na damu imwagike ndo unaweza kwenda kufungua mashitaka....
 
Wewe ndio huna uhakika hujui hata kuwa hakuna kitu kinaitwa Tanganyika unahitaji elimu ,elimu elimu
 
Kweli mkuu ila njaa mbaya -inakufanya ujipendekeze na wewe uingie japo ndani utapata hata makombo
 
Kaka matokeo ya Zanzibar yalivyofutwa tu ,nikaona kama watu wa TLS ,magwiji wa tasnia ya sheria kama wanapasha misuli moto! Maskini ya Mungu Wamelala zaidi ya usingizi wenyewe. We are doomed
 
NI KWELI KABISA WANASHERIA WENGI WA BONGO HAMNA KITU,yaani wanakuwa tayari kufunika ukweli na kuacha kuusimamia ili tu wapate virushwa rushwa na kuendeshwa na serikali hovyo hovyo tu.

Mfano,je jamii ya wanasheria Tanzania (TLS) imetoa tamko au msaada gani kuhusu case ya Zanzibar? Vipi katika uonevu mwingi wa waziwazi unaotokea ktk nchi hii?
 
Kaka matokeo ya Zanzibar yalivyofutwa tu ,nikaona kama watu wa TLS ,magwiji wa tasnia ya sheria kama wanapasha misuli moto! Maskini ya Mungu Wamelala zaidi ya usingizi wenyewe. We are doomed

Hao TLS hamna kitu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…