isidingo 1961
Senior Member
- Nov 9, 2015
- 106
- 13
Ninawaomba wajuzi wa mambo ya Sheria ya Rushwa watujuzi Sheria ya Rushwa inasemaje kwa mntoa rushwa a mpokea rushwa.Kwa uelewa wangu mdogo nadhani iwapo mtoa rushwa hatatoa taarifa za kuombwa rushwa kwenye chombo husika basi akitoa rushwa atakuwa katenda kosa.
Mkoani Tanga kuna Polisi alikamatwa kwa kupokea rushwa na amefukuzwa kazi na anashikiliwa na PCCB. Lakini yule aliyetoa hiyo rushwa hajakamatwa je Sheria inasemaje kwa mtoa rushwa?
Mkoani Tanga kuna Polisi alikamatwa kwa kupokea rushwa na amefukuzwa kazi na anashikiliwa na PCCB. Lakini yule aliyetoa hiyo rushwa hajakamatwa je Sheria inasemaje kwa mtoa rushwa?