Wanasheria msikubali TLS ikanajisiwa

Wanasheria msikubali TLS ikanajisiwa

Mbona serikali inaongozwa na CCM na hakuna tatizo.
Pia maRAS ma DAS nk ni makada
Hahahahahaaaaaaaah
Kaaaaz kwelikweli
Ina maana hujui kama serikali itaongozwa na Chama kilichoshinda!??
Hivi hujui kwamba Serikali itatekeleza ilani ya Chama kilichoshinda!??

Kwa upande wa TLS hakuna mgombea wa Chama au anayewakilisha Chama na kimsingi TLS haipaswi kujinasibisha na Vyama au Serikali ili iweze kufanya kazi kwa Weledi. Bila kuegemea kokote
 
Nianze kwa Salaam,

Nimeguswa na majibizano yanayoendelea kuhusu haki ya Tundu Lissu kugombea Urais wa TLS. Aidha nimechangia mijadalaa mingi inayohusu TLS na TL.

Kwa hili, hoja yangu natumia mfano wa ZITTO Kabwe
Zitto alikuwa M/kiti wa PAC, kamati ya BUNGE ya mashirika ya Umma(na asasi zote zinazopokea fedha kutoka Serikalini). Ndani ya kamati waliona fedha za SERIKALI zinazotolewa kwa vyama vya Siasa kama Ruzuku hazitumiki ilivokusudiwa. Alisimamma Bungeni na kuomba Mkaguzi Mkuu(CAG) kukagua hesabu za Vyama vyote vya Siasa, tena aanzie Chama chake-CDM.

Mapokeo ya Tamko hilo yalikuwa tofauti, kila mtu kivyake, wengine waliona kitendo kile kama uzalendo, wengine ujasiri,wengine unafiki na wengine usaliti.

CDM walimuona MSALITI, kupitia Vikao rasmi Chamani waliamua kumhoji, kumsulubu na wakanitumia hiyo Kama ni hoja mojawapo kumfukuza Chamani, wakatamka wazi kwamba alipaswa awatonye ili waweke Mambo sawa ndipo atoe hoja ile na hatimae CHADEMA ingeonekana SAFI.

Ambacho hatujui kwa hakika ni dhamira ya ZITTO nyuma ya hoja yake
1. Alikuwa mzalendo wa kweli?
3. Alikuwa Mnafiki?
4. Alikuwa MSALITI akitumia nafasi ile kumshughulikia MBOWE?

Hii ndio dhana Halisi ya Mgongano wa maslahi yaani COMFLICT OF INTEREST. ZITTO Asimame na PAC au CHADEMA?

Kwa wenzetu, conflict of interest inatosha kumfukuzisha Mtu kazi au kumnyima kazi.

Yaliyomtokea ZITTO lazima yatatokea kwa Lissu ambapo atalazimika achague kati ya TLS na CHADEMA.

Ikatokea wamepishana na MBOWE Basi tutegemee TLS kutumika kumuadhibu MBOWE kama Zitto alivoitumia PAC. Kinyume chake kama watabaki jinsi walivyo leo basi tutegemee TLS kubeba Agenda za CDM tena kwa maelekezo mahususi.

TUNDU LISSU
Nionavyo Mimi TL binafsi, anatafuta jukwaa la kusemea na kusikika ili kufurahisha na kujikusanyia mashabiki na kujijengea umaarufu kisiasa na kibiashara (Uwakili).

Anatafuta jukwaa jipya baada ya kulinajisi lile la awali - POLITICAL PLATFORM.
TL ni Mbunge, ni Mwanasheria Mkuu wa CDM, Kiongozi mwandamizi CDM n.k, chochote asemacho, atendacho ni Habari, vyeo hivi vimempa jukwaa adhimu la kusemea. Je amelitumiaje jukwaa hili?

Amekuwa mchambuzi, mkosoaji/mshauri wa SERIKALI na hususan Raisi. Tatizo lake kubwa ni APPROACH, bila upotoshaji, kejeli, dharau, kashfa na Matusi, basi TL hajafanya Siasa.

Kisaikolojia, huwezi kumtusi, kumkashifu, kumdharau au kumkejeli Mtu halafu utegemee afuate ushauri wako. Naamini kuna tofauti ndogo sana kati ya JPM na TL katika kuchagua maneno jukwaani.

Kupitia TL nafasi na hadhi ya UPINZANI ktk SERIKALI ya JPM imepotea kabisa hawasikilizwi wala kushirikishwa. Bado nakumbuka jinsi JPM alivokata tamaa na UPINZANI mpaka kufikia kusema "UKIONA MPINZANI ANAKUSIFIA JIULIZE UMEKOSEA WAPI" matokeo yake sote tunayajua
Leo hii hata Diamond Platnumz anasikilizwa kuliko TL, ndio kwa sababu yeye kaonyesha Busara zaidi ya TL.

Je, mapungufu haya sasa ndio tunataka yahamie TLS, ili nao wabezwe,wasisikilizwe.

OLENI SANA TLS
Pamoja na umahiri wake kitaaluma lakini TL bado ana matatizo ktk ueledi ndio kusema sijaona mchango wake pale CHADEMA kwa matatizo ya Msingi kama Katiba ya Chama, au kumshauri MBOWE ktk mambo yanayoathiri taswira ya Chama kama Ukabila,Ukanda, Udini, Ufisadi Chamani, Matumizi mabaya ya Ruzuku, achilia mbali matatizo binafsi ya M\Kiti, kama ukwepaji kodi, utakatishaji fedha, ulipaji wa madeni, ufuska, udikteta na upendeleo. Yote hayo yote yamemshinda sasa anataka atengeneze TLS.

Anyway, sishangai tena. maana ni ajabu kubwa wanasheria kushindwa kuweka sheria dhidi ya Conflict of Interest, kushindwa kuweka kanuni na sifa za Mgombea, kanuni zitakazo wafanya TLS kuwa asasi huru dhidi ya external interference toka SERIKALI au POLITICAL PARTIES.

Sishangai kusikia Lissu kateuliwa na hawa Learned Brothers kuwa Rais wao. Ndio, bado nakumbuka barua toka kwa Kaka zao, Wanasheria wa Afrika Mashariki waliomwandikia Mwakyembe wanasema wazi juu ya haja ya kuwa chombo huru kisichoingiliwa. Lakini wanarudi kupinga dhana hii kwa kisingizio rahisi ati siku hizi haiwezekani kupata Mwanasheria ambaye hana mapenzi na Chama Fulani.

Duuuh, hii nayo kali eti wao wanashindwa kutofautisha ushabiki wa Chama na kuwa kiongozi wa Chama.

Kama ni sawa kwa Mwanasheria Mkuu CHADEMA kugombea Basi uchaguzi Mkuu ujao Mwanasheria Mkuu wa CCM naye agombee, bila shaka sio vibaya hata Mwanasheria Mkuu wa SERIKALI ((AG),, baadae Jaji Mkuu Mpaka DPP maana na wenyewe ni Learned Brothers pia..!!!

Naam, sio ajabu INCHI yangu inaongoza kwa kuwa na mikataba mibovu, inayotafuna Maliasili zetu iliyoandaliwa au kukubaliwa na hawa ndugu zetu.

Sasa nimeelewa kwa nini Lissu ni jembe, maana anatambua kwamba wenzie ni mbumbumbu ambao hawawezi kuona ubaya wa yeye kugombea.

Hongera Lissu kwa New Platform nalo kojolea ukiweza acha kinyesi linuke hasa then tafuta another platform keep it up.

Huu ujuha washirikishe mafisiem wenzako. Mkisikia jina la Tundu Lissu haja kubwa zinawatoka ovyo.
 
Nianze kwa Salaam,

Nimeguswa na majibizano yanayoendelea kuhusu haki ya Tundu Lissu kugombea Urais wa TLS. Aidha nimechangia mijadalaa mingi inayohusu TLS na TL.

Kwa hili, hoja yangu natumia mfano wa ZITTO Kabwe
Zitto alikuwa M/kiti wa PAC, kamati ya BUNGE ya mashirika ya Umma(na asasi zote zinazopokea fedha kutoka Serikalini). Ndani ya kamati waliona fedha za SERIKALI zinazotolewa kwa vyama vya Siasa kama Ruzuku hazitumiki ilivokusudiwa. Alisimamma Bungeni na kuomba Mkaguzi Mkuu(CAG) kukagua hesabu za Vyama vyote vya Siasa, tena aanzie Chama chake-CDM.

Mapokeo ya Tamko hilo yalikuwa tofauti, kila mtu kivyake, wengine waliona kitendo kile kama uzalendo, wengine ujasiri,wengine unafiki na wengine usaliti.

CDM walimuona MSALITI, kupitia Vikao rasmi Chamani waliamua kumhoji, kumsulubu na wakanitumia hiyo Kama ni hoja mojawapo kumfukuza Chamani, wakatamka wazi kwamba alipaswa awatonye ili waweke Mambo sawa ndipo atoe hoja ile na hatimae CHADEMA ingeonekana SAFI.

Ambacho hatujui kwa hakika ni dhamira ya ZITTO nyuma ya hoja yake
1. Alikuwa mzalendo wa kweli?
3. Alikuwa Mnafiki?
4. Alikuwa MSALITI akitumia nafasi ile kumshughulikia MBOWE?

Hii ndio dhana Halisi ya Mgongano wa maslahi yaani COMFLICT OF INTEREST. ZITTO Asimame na PAC au CHADEMA?

Kwa wenzetu, conflict of interest inatosha kumfukuzisha Mtu kazi au kumnyima kazi.

Yaliyomtokea ZITTO lazima yatatokea kwa Lissu ambapo atalazimika achague kati ya TLS na CHADEMA.

Ikatokea wamepishana na MBOWE Basi tutegemee TLS kutumika kumuadhibu MBOWE kama Zitto alivoitumia PAC. Kinyume chake kama watabaki jinsi walivyo leo basi tutegemee TLS kubeba Agenda za CDM tena kwa maelekezo mahususi.

TUNDU LISSU
Nionavyo Mimi TL binafsi, anatafuta jukwaa la kusemea na kusikika ili kufurahisha na kujikusanyia mashabiki na kujijengea umaarufu kisiasa na kibiashara (Uwakili).

Anatafuta jukwaa jipya baada ya kulinajisi lile la awali - POLITICAL PLATFORM.
TL ni Mbunge, ni Mwanasheria Mkuu wa CDM, Kiongozi mwandamizi CDM n.k, chochote asemacho, atendacho ni Habari, vyeo hivi vimempa jukwaa adhimu la kusemea. Je amelitumiaje jukwaa hili?

Amekuwa mchambuzi, mkosoaji/mshauri wa SERIKALI na hususan Raisi. Tatizo lake kubwa ni APPROACH, bila upotoshaji, kejeli, dharau, kashfa na Matusi, basi TL hajafanya Siasa.

Kisaikolojia, huwezi kumtusi, kumkashifu, kumdharau au kumkejeli Mtu halafu utegemee afuate ushauri wako. Naamini kuna tofauti ndogo sana kati ya JPM na TL katika kuchagua maneno jukwaani.

Kupitia TL nafasi na hadhi ya UPINZANI ktk SERIKALI ya JPM imepotea kabisa hawasikilizwi wala kushirikishwa. Bado nakumbuka jinsi JPM alivokata tamaa na UPINZANI mpaka kufikia kusema "UKIONA MPINZANI ANAKUSIFIA JIULIZE UMEKOSEA WAPI" matokeo yake sote tunayajua
Leo hii hata Diamond Platnumz anasikilizwa kuliko TL, ndio kwa sababu yeye kaonyesha Busara zaidi ya TL.

Je, mapungufu haya sasa ndio tunataka yahamie TLS, ili nao wabezwe,wasisikilizwe.

OLENI SANA TLS
Pamoja na umahiri wake kitaaluma lakini TL bado ana matatizo ktk ueledi ndio kusema sijaona mchango wake pale CHADEMA kwa matatizo ya Msingi kama Katiba ya Chama, au kumshauri MBOWE ktk mambo yanayoathiri taswira ya Chama kama Ukabila,Ukanda, Udini, Ufisadi Chamani, Matumizi mabaya ya Ruzuku, achilia mbali matatizo binafsi ya M\Kiti, kama ukwepaji kodi, utakatishaji fedha, ulipaji wa madeni, ufuska, udikteta na upendeleo. Yote hayo yote yamemshinda sasa anataka atengeneze TLS.

Anyway, sishangai tena. maana ni ajabu kubwa wanasheria kushindwa kuweka sheria dhidi ya Conflict of Interest, kushindwa kuweka kanuni na sifa za Mgombea, kanuni zitakazo wafanya TLS kuwa asasi huru dhidi ya external interference toka SERIKALI au POLITICAL PARTIES.

Sishangai kusikia Lissu kateuliwa na hawa Learned Brothers kuwa Rais wao. Ndio, bado nakumbuka barua toka kwa Kaka zao, Wanasheria wa Afrika Mashariki waliomwandikia Mwakyembe wanasema wazi juu ya haja ya kuwa chombo huru kisichoingiliwa. Lakini wanarudi kupinga dhana hii kwa kisingizio rahisi ati siku hizi haiwezekani kupata Mwanasheria ambaye hana mapenzi na Chama Fulani.

Duuuh, hii nayo kali eti wao wanashindwa kutofautisha ushabiki wa Chama na kuwa kiongozi wa Chama.

Kama ni sawa kwa Mwanasheria Mkuu CHADEMA kugombea Basi uchaguzi Mkuu ujao Mwanasheria Mkuu wa CCM naye agombee, bila shaka sio vibaya hata Mwanasheria Mkuu wa SERIKALI ((AG),, baadae Jaji Mkuu Mpaka DPP maana na wenyewe ni Learned Brothers pia..!!!

Naam, sio ajabu INCHI yangu inaongoza kwa kuwa na mikataba mibovu, inayotafuna Maliasili zetu iliyoandaliwa au kukubaliwa na hawa ndugu zetu.

Sasa nimeelewa kwa nini Lissu ni jembe, maana anatambua kwamba wenzie ni mbumbumbu ambao hawawezi kuona ubaya wa yeye kugombea.

Hongera Lissu kwa New Platform nalo kojolea ukiweza acha kinyesi linuke hasa then tafuta another platform keep it up.
wamemchagua sasa unasemaje????
 
Memba wa TLS naona mwaka huu wanaona kweli siasa inewaingilia, lazima inawachosha wengi wao.

Wamenishangaza why wengine wasio kwenye vyama huku na kule kea media kila leo, hawajawania cheo hicho naamini na haya yote mtu angepita bila tabu kwa sasa.
Hiv hao wagombea waliopita walikuwa c wanasiasa... walikuwa hawana chama?
 
Rais wa TLS ni Mh. Tundu Antipas Lissu....sasa kama mko tayari nendeni mahakamani mkafute matokeo maana naona kama mnatupotezea mood ya kurudisha Taifa katika misingi ya utawala wa sheria. Tunaitaka serikali hii ya Mhima ifuate utawala wa sheria mengine badae
 
Hahahahahaaaaaaaah
Kaaaaz kwelikweli
Ina maana hujui kama serikali itaongozwa na Chama kilichoshinda!??
Hivi hujui kwamba Serikali itatekeleza ilani ya Chama kilichoshinda!??

Kwa upande wa TLS hakuna mgombea wa Chama au anayewakilisha Chama na kimsingi TLS haipaswi kujinasibisha na Vyama au Serikali ili iweze kufanya kazi kwa Weledi. Bila kuegemea kokote

Stolla,Frank na.wasongo hawa wote ni Makada wa CCM tena mmoja aligombea mpaka nafasi ya urais.

Pole.Lissu ni Mtanzania anayohaki sawa na kada wa CCM
 
Ndo kimeshakatikia hicho, toa povu pande zote mbili za alimentary canal.. Lissu ndo Raisi wa kuchaguliwa wa TLS..
 
Watanzania naona ccm imewafanya mbumbumbu ndiyo maana mnakuwa na mawazo ya ccm kutawala milele. Mbona wakurugenzi wa halmashauri ni maccm? Na wewe mleta mada hulamikii hilo!
 
Acha kutoa povu.Tangu hotuba ya kwanza ya Mkuu wapinzani aliwaona kama mavi siyo kwa ajili ya TL. Usiwadanganye watu.
Mshauri kwanza mkuu abadilike.
 
Michango ya tundu lisu bungeni asilimia 90 huegemea kwenye sheria,pia wewe waelewa kuwa nchi sasa haiongozwi kwa misingi ya katiba na sheria na pia wewe waelewa kuwa moja ya majukumu muhimu ya TLS ni kusimamia misingi ya sheria na haki za binadamu.Hivyo naamini Lisu mahali pake sahihi ni TLS na si kweli kwamba ataipotosha taasisi hiyo kwani kazi aliyoizoea Lisu ni kutetea haki na misingi ya sheria na kusema ukweli bila kupepesa anaposimamia haki na sheria ,hata hiyo wanayosema kuwa ana vijembe na dharau si sahihi bali ni ubobezi wake ktk masuala ya sheria ndiyo yanayomfanya aongee kwa kujiamini kiasi cha wasioelewa anachosimamia kufikiri anadharau.Kiufupi Lisu amekwenda TLS wakati sahihi na hajaenda kupambana na serikali bali kupambana na wote wanaokwenda kinyume na katiba na sheria za nchi na kuwaelekeza njia sahihi ya kuongoza kwa kufuata katiba na sheria. TLS ni taasisi wala haiwezi kumwonea yeyote au kumpendelea yeyote sababu ya Lisu anayesema hivi arejee teuzi za makada wa ccm kwenye nafasi za serikali kama DC,DED,RAS,DAS,mwanasheria mkuu wa serikali, mkuu wa majeshi,IGP,Jaji mkuu nk kisha aache porojo
 
Michango ya tundu lisu bungeni asilimia 90 huegemea kwenye sheria,pia wewe waelewa kuwa nchi sasa haiongozwi kwa misingi ya katiba na sheria na pia wewe waelewa kuwa moja ya majukumu muhimu ya TLS ni kusimamia misingi ya sheria na haki za binadamu.Hivyo naamini Lisu mahali pake sahihi ni TLS na si kweli kwamba ataipotosha taasisi hiyo kwani kazi aliyoizoea Lisu ni kutetea haki na misingi ya sheria na kusema ukweli bila kupepesa anaposimamia haki na sheria ,hata hiyo wanayosema kuwa ana vijembe na dharau si sahihi bali ni ubobezi wake ktk masuala ya sheria ndiyo yanayomfanya aongee kwa kujiamini kiasi cha wasioelewa anachosimamia kufikiri anadharau.Kiufupi Lisu amekwenda TLS wakati sahihi na hajaenda kupambana na serikali bali kupambana na wote wanaokwenda kinyume na katiba na sheria za nchi na kuwaelekeza njia sahihi ya kuongoza kwa kufuata katiba na sheria. TLS ni taasisi wala haiwezi kumwonea yeyote au kumpendelea yeyote sababu ya Lisu anayesema hivi arejee teuzi za makada wa ccm kwenye nafasi za serikali kama DC,DED,RAS,DAS,mwanasheria mkuu wa serikali, mkuu wa majeshi,IGP,Jaji mkuu nk kisha aache porojo
 
Nianze kwa Salaam,

Nimeguswa na majibizano yanayoendelea kuhusu haki ya Tundu Lissu kugombea Urais wa TLS. Aidha nimechangia mijadalaa mingi inayohusu TLS na TL.

Kwa hili, hoja yangu natumia mfano wa ZITTO Kabwe
Zitto alikuwa M/kiti wa PAC, kamati ya BUNGE ya mashirika ya Umma(na asasi zote zinazopokea fedha kutoka Serikalini). Ndani ya kamati waliona fedha za SERIKALI zinazotolewa kwa vyama vya Siasa kama Ruzuku hazitumiki ilivokusudiwa. Alisimamma Bungeni na kuomba Mkaguzi Mkuu(CAG) kukagua hesabu za Vyama vyote vya Siasa, tena aanzie Chama chake-CDM.

Mapokeo ya Tamko hilo yalikuwa tofauti, kila mtu kivyake, wengine waliona kitendo kile kama uzalendo, wengine ujasiri,wengine unafiki na wengine usaliti.

CDM walimuona MSALITI, kupitia Vikao rasmi Chamani waliamua kumhoji, kumsulubu na wakanitumia hiyo Kama ni hoja mojawapo kumfukuza Chamani, wakatamka wazi kwamba alipaswa awatonye ili waweke Mambo sawa ndipo atoe hoja ile na hatimae CHADEMA ingeonekana SAFI.

Ambacho hatujui kwa hakika ni dhamira ya ZITTO nyuma ya hoja yake
1. Alikuwa mzalendo wa kweli?
3. Alikuwa Mnafiki?
4. Alikuwa MSALITI akitumia nafasi ile kumshughulikia MBOWE?

Hii ndio dhana Halisi ya Mgongano wa maslahi yaani COMFLICT OF INTEREST. ZITTO Asimame na PAC au CHADEMA?

Kwa wenzetu, conflict of interest inatosha kumfukuzisha Mtu kazi au kumnyima kazi.

Yaliyomtokea ZITTO lazima yatatokea kwa Lissu ambapo atalazimika achague kati ya TLS na CHADEMA.

Ikatokea wamepishana na MBOWE Basi tutegemee TLS kutumika kumuadhibu MBOWE kama Zitto alivoitumia PAC. Kinyume chake kama watabaki jinsi walivyo leo basi tutegemee TLS kubeba Agenda za CDM tena kwa maelekezo mahususi.

TUNDU LISSU
Nionavyo Mimi TL binafsi, anatafuta jukwaa la kusemea na kusikika ili kufurahisha na kujikusanyia mashabiki na kujijengea umaarufu kisiasa na kibiashara (Uwakili).

Anatafuta jukwaa jipya baada ya kulinajisi lile la awali - POLITICAL PLATFORM.
TL ni Mbunge, ni Mwanasheria Mkuu wa CDM, Kiongozi mwandamizi CDM n.k, chochote asemacho, atendacho ni Habari, vyeo hivi vimempa jukwaa adhimu la kusemea. Je amelitumiaje jukwaa hili?

Amekuwa mchambuzi, mkosoaji/mshauri wa SERIKALI na hususan Raisi. Tatizo lake kubwa ni APPROACH, bila upotoshaji, kejeli, dharau, kashfa na Matusi, basi TL hajafanya Siasa.

Kisaikolojia, huwezi kumtusi, kumkashifu, kumdharau au kumkejeli Mtu halafu utegemee afuate ushauri wako. Naamini kuna tofauti ndogo sana kati ya JPM na TL katika kuchagua maneno jukwaani.

Kupitia TL nafasi na hadhi ya UPINZANI ktk SERIKALI ya JPM imepotea kabisa hawasikilizwi wala kushirikishwa. Bado nakumbuka jinsi JPM alivokata tamaa na UPINZANI mpaka kufikia kusema "UKIONA MPINZANI ANAKUSIFIA JIULIZE UMEKOSEA WAPI" matokeo yake sote tunayajua
Leo hii hata Diamond Platnumz anasikilizwa kuliko TL, ndio kwa sababu yeye kaonyesha Busara zaidi ya TL.

Je, mapungufu haya sasa ndio tunataka yahamie TLS, ili nao wabezwe,wasisikilizwe.

OLENI SANA TLS
Pamoja na umahiri wake kitaaluma lakini TL bado ana matatizo ktk ueledi ndio kusema sijaona mchango wake pale CHADEMA kwa matatizo ya Msingi kama Katiba ya Chama, au kumshauri MBOWE ktk mambo yanayoathiri taswira ya Chama kama Ukabila,Ukanda, Udini, Ufisadi Chamani, Matumizi mabaya ya Ruzuku, achilia mbali matatizo binafsi ya M\Kiti, kama ukwepaji kodi, utakatishaji fedha, ulipaji wa madeni, ufuska, udikteta na upendeleo. Yote hayo yote yamemshinda sasa anataka atengeneze TLS.

Anyway, sishangai tena. maana ni ajabu kubwa wanasheria kushindwa kuweka sheria dhidi ya Conflict of Interest, kushindwa kuweka kanuni na sifa za Mgombea, kanuni zitakazo wafanya TLS kuwa asasi huru dhidi ya external interference toka SERIKALI au POLITICAL PARTIES.

Sishangai kusikia Lissu kateuliwa na hawa Learned Brothers kuwa Rais wao. Ndio, bado nakumbuka barua toka kwa Kaka zao, Wanasheria wa Afrika Mashariki waliomwandikia Mwakyembe wanasema wazi juu ya haja ya kuwa chombo huru kisichoingiliwa. Lakini wanarudi kupinga dhana hii kwa kisingizio rahisi ati siku hizi haiwezekani kupata Mwanasheria ambaye hana mapenzi na Chama Fulani.

Duuuh, hii nayo kali eti wao wanashindwa kutofautisha ushabiki wa Chama na kuwa kiongozi wa Chama.

Kama ni sawa kwa Mwanasheria Mkuu CHADEMA kugombea Basi uchaguzi Mkuu ujao Mwanasheria Mkuu wa CCM naye agombee, bila shaka sio vibaya hata Mwanasheria Mkuu wa SERIKALI ((AG),, baadae Jaji Mkuu Mpaka DPP maana na wenyewe ni Learned Brothers pia..!!!

Naam, sio ajabu INCHI yangu inaongoza kwa kuwa na mikataba mibovu, inayotafuna Maliasili zetu iliyoandaliwa au kukubaliwa na hawa ndugu zetu.

Sasa nimeelewa kwa nini Lissu ni jembe, maana anatambua kwamba wenzie ni mbumbumbu ambao hawawezi kuona ubaya wa yeye kugombea.

Hongera Lissu kwa New Platform nalo kojolea ukiweza acha kinyesi linuke hasa then tafuta another platform keep it up.
529dd1ac6a3fcb7d26d6e60aedddb879.jpg
 
wamemchagua sasa unasemaje????
Nasema niliyoyasema hapo juu, Lissu ataishia kubwabwaja lakini hatopewa hadhi stahili kusikilizwa kwa uzito waliostahili TLS. Tunakoelekea Diamond Platnums atasikilizwa kuliko matamko ya TLS.
What's TLS by the way. Kama Binge limedhibitiwa, ka Mahakama imedhibitiwa wewe unafikiri TLS ni NINI, wanamamlaka gani kisheria
 
Nasema niliyoyasema hapo juu, Lissu ataishia kubwabwaja lakini hatopewa hadhi stahili kusikilizwa kwa uzito waliostahili TLS. Tunakoelekea Diamond Platnums atasikilizwa kuliko matamko ya TLS.
What's TLS by the way. Kama Binge limedhibitiwa, ka Mahakama imedhibitiwa wewe unafikiri TLS ni NINI, wanamamlaka gani kisheria
usiwe na mawazo finyu.
extend your brain usipende kuwa bendera inayotii upepo wa ccm.
watanzania mabadiriko yataletwa na sisi wenyewe muda wa kuchezewa kama midori umepita
 
Nasema niliyoyasema hapo juu, Lissu ataishia kubwabwaja lakini hatopewa hadhi stahili kusikilizwa kwa uzito waliostahili TLS. Tunakoelekea Diamond Platnums atasikilizwa kuliko matamko ya TLS.
What's TLS by the way. Kama Binge limedhibitiwa, ka Mahakama imedhibitiwa wewe unafikiri TLS ni NINI, wanamamlaka gani kisheria

Amechaguliwa sasa koroga sumu unywe ufe kabisa. Salam mpelekee mhanga wa sumu.
 
Back
Top Bottom