Sidhani kama watashinda, maana mlalamikaji na mlalamikiwa kwa pamoja walikubaliana kuipeleka kesi yao katika mahakama ya usuluhishi.
Naomba tu-digest maana ya phrases zifuatazo:
1. "The decision of the arbitrator shall be final and binding upon the parties and shall not be subject to appeal. Either party may petition any court having jurisdiction to enter judgment upon the arbitration award. At the request of either of the parties, the Arbitrator shall cause such arbitration to be filed with the High Court of Tanzania."
2. "The Parties waive any right to challenge or contest the validity or enforceability or any arbitration proceeding or award brought in conformity with this Section, including any objection based on venue inconvenient forum."
3. "Every Award shall be binding on the parties. By submitting the dispute to arbitration under these Rules, the parties undertake to carry out any Award without delay and shall be deemed to have waived any recourse in so far as such waiver can validly be made."
Kwa hiyo naomba tuchanganue Rules of ICC nilizoziandika hapo juu, hasa maeneo niliyoya-underline! Kwa haraka haraka sijaona sehemu ambao High Court inaweza ku-challenge kesi ambayo imetoka kwenye utaratibu wa Arbitration ila bado sijaelewa vizuri kama wasipoisajili Award hiyo itakuwaje! What is the effect of registration or non-registration? Let's discuss!
Kwa hiyo wakuu kama award haitakuwa registered effect yake ni ipi?
Wajomba"nchi wahisani" wataweza kutukatia misaada na pia uwekezaji utashuka nchini kwa kuwa tutaonekana wahuni. Tatizo hapa ni kwamba, wanasiasa waliingilia sheria. Inatugharimu na itatugharimu
Wajomba"nchi wahisani" wataweza kutukatia misaada na pia uwekezaji utashuka nchini kwa kuwa tutaonekana wahuni. Tatizo hapa ni kwamba, wanasiasa waliingilia sheria. Inatugharimu na itatugharimu
LEARNED BROTHERS AND SISTERS!!!
Tuachane kidogo na majukwaa mengine, hasa jukwaa la siasa. Maana siasa hupandisha jazba hasa mnapotofautiana kimawazo na kimtazamo. Naombeni tuliangalie hili kwa umakini. Wasomi wetu wa sheria wanataka kwenda mahakamani kupinga serikali kuilipa Dowans mabilioni ya shilingi wakati Mahakama ya usuluhishi ya kimataifa ilishatoa hukumu, JE DOCTRINE YA RES JUDICATA na ESTOPPEL OF JUDGEMENT(RECORD) haita-function hapo na kuwa kizuizi?
Wajomba"nchi wahisani" wataweza kutukatia misaada na pia uwekezaji utashuka nchini kwa kuwa tutaonekana wahuni. Tatizo hapa ni kwamba, wanasiasa waliingilia sheria. Inatugharimu na itatugharimu
Naomba tu-digest maana ya phrases zifuatazo:
1. "The decision of the arbitrator shall be final and binding upon the parties and shall not be subject to appeal. Either party may petition any court having jurisdiction to enter judgment upon the arbitration award. At the request of either of the parties, the Arbitrator shall cause such arbitration to be filed with the High Court of Tanzania."
2. "The Parties waive any right to challenge or contest the validity or enforceability or any arbitration proceeding or award brought in conformity with this Section, including any objection based on venue inconvenient forum."
3. "Every Award shall be binding on the parties. By submitting the dispute to arbitration under these Rules, the parties undertake to carry out any Award without delay and shall be deemed to have waived any recourse in so far as such waiver can validly be made."
Kwa hiyo naomba tuchanganue Rules of ICC nilizoziandika hapo juu, hasa maeneo niliyoya-underline! Kwa haraka haraka sijaona sehemu ambao High Court inaweza ku-challenge kesi ambayo imetoka kwenye utaratibu wa Arbitration ila bado sijaelewa vizuri kama wasipoisajili Award hiyo itakuwaje! What is the effect of registration or non-registration? Let's discuss!