Wanasheria, hivi kweli hapa kuna kesi?

Mungu wangu, mahakama kuu ya Tanzania imefikia hatua hii...tumekwisha.

No wonder walitaka kesi hii isiwe wazi.
 
Lakini duniani kote haijapata kutokea kwamba harakati za kudai uhuru na haki vilisitishwa kwa kuua au kufunga viongozi wao. Hakuna utawala uliokuwa na nguvu kama ule Apartheid kule SA, enzi za kupigania uhuru. Makaburu walidhani wakimfunga Nelson Mandela, basi harakati zingerudi nyuma. Watawala dhalimu wanachosahau ni kwamba kadri udhalimu wao unavyozidi ndivyo hamasa ya harakati huongezeka.
Hata sasa kwa hapa Tanzania jamii lazima itajiuliza Kuna nini hasa kinachohofiwa na watawala kuwa na Katiba mpya au tume huru ya uchaguzi
 
Lakini duniani kote haijapata kutokea kwamba harakati za kudai uhuru na haki vilisitishwa kwa kuua au kufunga viongozi wao. Hakuna utawala uliokuwa na nguvu kama ule Apartheid kule SA, enzi za kupigania uhuru. Makaburu walidhani wakimfunga Nelson Mandela, basi harakati zingerudi nyuma. Watawala dhalimu wanachosahau ni kwamba kadri udhalimu wao unavyozidi ndivyo hamasa ya harakati huongezeka.
Hata sasa kwa hapa Tanzania jamii lazima itajiuliza Kuna nini hasa kinachohofiwa na watawala kuwa na Katiba mpya au tume huru ya uchaguzi
Wamenyimwa maarifa ili waangamie.
 
Wanasheria tunaomba mtusaidie juu ya hili jambo.

Sioni kabisa logic ya Mbowe kuendelea kujitetea mbele ya hii mahakama.

Someni hiki:

View attachment 2005847

View attachment 2005849
Hii issue ya ile nyalaka wengi hawakuielewa vizuri. Na ndio maana hata maswali waliyokuwa wanajiuliza hayakuwa sahihi pia.

Ukweli upo hivi, sio kwamba ile nyalaka ilitolewa kwenye store ya mahakama kinyemela, then akapewa shahidi aje nayo mahakamani. Kwa tuliokuwepo mahakamani tunajua kwamba siku ile nyalaka upande wa mashtaka waliiomba, then karani wa mahakama akaitoa kwenye makablasha yake pale mezani akampa.

Kwa mtazamo wangu, nadhan maswali sahihi yalifaa yawe haya:

1. Nyalaka ilitakiwa iwe kwenye possession ya mahakama( store), ilikuwaje ikawa pale mezani muda ule upande wa mashtaka walipoiomba?

2. Je, kuna link (nje ya muda wa kesi) kati ya mahakama na upande wa mashtaka kwenye hii kesi? Kama hakuna, karani alijuaje kama upande wa mashtaka wangeiomba ile nyalaka, mpaka akaitoa ilipokuwa, na kuileta mle mahakamani?
 
Back
Top Bottom