Wanasema Kikwete hajafanya kitu, wamsikilize Kawawa

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Aug 13, 2009
3,796
1,849
Wakulima wa tumbaku wajipatia mabilioni

Na Lucas Macha
1st October 2009


tumbaku%281%29.jpg

Shamba la tumbaku.


Wakulima mkoani hapa wamejipatia Sh bilioni 149 kwa kuuza tumbaku katika msimu wa mwaka huu.

Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurungezi wa Bodi ya Tumbaku nchini, Vitta Kawawa wakati akizungumza na wakazi wa kijiji cha Msimba na Ibili kilichopo Wilaya ya Uyui.

Kawawa, alisema kiwango hicho kimeongezeka maradufu kutoka Sh bilioni 60 ambazo wakulima hao walijipatia mwaka jana baada ya kuuza tumbaku.

Kawawa ambaye pia ni Mbunge wa Namtumbo mkoani Ruvuma, alisema wastani wa bei ya kilo moja ya tumbaku kwa sasa ni mzuri kwa kuwa inauzwa kwa Sh 2,500 kwa kilo.

Alisema wakulima wa tumbaku nchini wanaufaika na zao hilo kwani z ni imara na halijateteleka hasa katika kipindi hiki cha mtikisiko wa uchumi unaozikumba nchi mbalimbali duniani.

Mwenyekiti huyo yuko mkoani hapa kwa ziara ya kukagua maendeleo ya zao hilo na kuwahamasisha wakulima kuboresha kilimo hicho ili kuongeza kipato.




Korosho za Tanzania zatesa soko la dunia

Na Said Hamdani
3rd October 2009


Korosho%20tz.jpg


Korosho.



Korosho za Tanzania zimeshika nafasi ya kwanza kwa ubora katika soko la Dunia katika kipindi cha mwaka jana, imefahamika.

Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho nchini, Athumani Muhagama katika kikao cha kupanda dira ya bei ya zao hilo kwa msimu ujao.

Akizungumza katika kikao hicho kilichoandaliwa na bodi hiyo, Muhagama, alisema korosho hizo zilizozalishwa katika baadhi ya mikoa nchini ni ya Tanga, Mtwara, Lindi na Pwani zilishika nafasi hiyo ya kwanza mwaka jana kutokana na wakulima kuzingatia ushauri wa wataalam wa kilimo hicho na masoko.

Mkurugenzi huyo, alisema kwa sasa wakulima hao wana changamoto ya kuendelea kuboresha kilimo hicho na kuzingatia ushauri wa wataalamu ili zao hilo lizidi kuongoza mwaka hadi mwaka kwa ubora katika soko hilo.

Akizungumzia kuhusu mwaka juzi, alisema zao hilo halikufanya vizuri katika soko hilo kutokana na wakulima kuchanganya na takataka kwa lengo la kuongeza uzito.

Akifungua mkutano huo, Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Magalula Said Magalula, alisema uwezo mdogo wa baadhi ya viwanda nchini wa kubangulia korosho nchini ni chanzo cha wakulima kulazimika kuuza korosho ghafi nje ya nchi, imeelezwa.

Alisema endapo wadau wa kilimo hicho watajipanga upya kinaweza kuwa na faida kwa wote na kuongeza pato la Serikali. Katika kikao hicho wadau wamekubaliana dira ya bei iwe Sh 675 kwa korosho ya daraja la kwanza kwa kilo na Sh 580 kwa daraja la pili.

CHANZO: NIPASHE

MNAOSEMA HAJAFANYA KITU KWENYE KILIMO, NIPENI DATA ZETU. Najua hamtaleta data zozote zile zaid ya kusema kafanyaaa vibaya.

Basi hali kama hiyo iko katika mazao karibu yote, kama Mahindi, Mpunga, na Chai.

Kikwete anaweza!
 
Wewe ZN unatumwa? Maana naona thread zote unzoanzisha zinamzunguka mtu mmoja tu.
 
MNAOSEMA HAJAFANYA KITU KWENYE KILIMO, NIPENI DATA ZETU. Najua hamtaleta data zozote zile zaid ya kusema kafanyaaa vibaya.

Basi hali kama hiyo iko katika mazao karibu yote, kama Mahindi, Mpunga, na Chai.

Umeenda kuongea na wakulima wenyewe au unasikiliza data hizo za wakurugenzi? Kweli kipendacho roho!
 
Pole sana ndugu yangu kwa kuziamini data za makaratasi,
umesahau kuwa watanzania ni watu wazuri sana kwa kufoji data,
yaani hizo data nenda kafanya hata samle ndogo tu maeneo hayo utapata data, usikubaliane na maandishi hayo.
 
zawadi mimi sisemi hajafanya kitu,lakini je hizo data zina uhusiano gani na maisha ya hawa wakulima?kwasababu inawezekana kweli tanzania tumeuza tumbaku ya kiasi hicho cha pesa,lakini je ni kweli mkulima nae kafaidika kiasi gani?kwa mfano angalia zao la korosho hususani kwa mtwara tu,mtwara imekuwa inauza sana tu korosho,na korosho yake inasifika kweli,lakini wanaofaidika mara nyingi wamekuwa ni madalali na wafanyabiashara wanaokwenda kulangua korosho huko,hiyo niaka karibu miwili huko nyuma,sina hakika baada ya kuaza uuzaji wa kipande system[stakabadhi gharani]mambo yanaendaje huko.
 
Wakulima wa tumbaku wajipatia mabilioni

Na Lucas Macha
1st October 2009



tumbaku%281%29.jpg


Shamba la tumbaku.



Wakulima mkoani hapa wamejipatia Sh bilioni 149 kwa kuuza tumbaku katika msimu wa mwaka huu.

Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurungezi wa Bodi ya Tumbaku nchini, Vitta Kawawa wakati akizungumza na wakazi wa kijiji cha Msimba na Ibili kilichopo Wilaya ya Uyui.

Kawawa, alisema kiwango hicho kimeongezeka maradufu kutoka Sh bilioni 60 ambazo wakulima hao walijipatia mwaka jana baada ya kuuza tumbaku.

Kawawa ambaye pia ni Mbunge wa Namtumbo mkoani Ruvuma, alisema wastani wa bei ya kilo moja ya tumbaku kwa sasa ni mzuri kwa kuwa inauzwa kwa Sh 2,500 kwa kilo.

Alisema wakulima wa tumbaku nchini wanaufaika na zao hilo kwani z ni imara na halijateteleka hasa katika kipindi hiki cha mtikisiko wa uchumi unaozikumba nchi mbalimbali duniani.

Mwenyekiti huyo yuko mkoani hapa kwa ziara ya kukagua maendeleo ya zao hilo na kuwahamasisha wakulima kuboresha kilimo hicho ili kuongeza kipato.



Korosho za Tanzania zatesa soko la dunia

Na Said Hamdani
3rd October 2009

Korosho%20tz.jpg


Korosho.


Korosho za Tanzania zimeshika nafasi ya kwanza kwa ubora katika soko la Dunia katika kipindi cha mwaka jana, imefahamika.

Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho nchini, Athumani Muhagama katika kikao cha kupanda dira ya bei ya zao hilo kwa msimu ujao.

Akizungumza katika kikao hicho kilichoandaliwa na bodi hiyo, Muhagama, alisema korosho hizo zilizozalishwa katika baadhi ya mikoa nchini ni ya Tanga, Mtwara, Lindi na Pwani zilishika nafasi hiyo ya kwanza mwaka jana kutokana na wakulima kuzingatia ushauri wa wataalam wa kilimo hicho na masoko.

Mkurugenzi huyo, alisema kwa sasa wakulima hao wana changamoto ya kuendelea kuboresha kilimo hicho na kuzingatia ushauri wa wataalamu ili zao hilo lizidi kuongoza mwaka hadi mwaka kwa ubora katika soko hilo.

Akizungumzia kuhusu mwaka juzi, alisema zao hilo halikufanya vizuri katika soko hilo kutokana na wakulima kuchanganya na takataka kwa lengo la kuongeza uzito.

Akifungua mkutano huo, Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Magalula Said Magalula, alisema uwezo mdogo wa baadhi ya viwanda nchini wa kubangulia korosho nchini ni chanzo cha wakulima kulazimika kuuza korosho ghafi nje ya nchi, imeelezwa.

Alisema endapo wadau wa kilimo hicho watajipanga upya kinaweza kuwa na faida kwa wote na kuongeza pato la Serikali. Katika kikao hicho wadau wamekubaliana dira ya bei iwe Sh 675 kwa korosho ya daraja la kwanza kwa kilo na Sh 580 kwa daraja la pili.

CHANZO: NIPASHE

MNAOSEMA HAJAFANYA KITU KWENYE KILIMO, NIPENI DATA ZETU. Najua hamtaleta data zozote zile zaid ya kusema kafanyaaa vibaya.

Basi hali kama hiyo iko katika mazao karibu yote, kama Mahindi, Mpunga, na Chai.

Kikwete anaweza!

Live rates at 2009.10.27 14:14:58 UTC149,000,000,000.00 TZS

=

112,749,307.940 USD

Tanzania Shillings United States Dollars 1 TZS = 0.000756707 USD 1 USD = 1,321.52 TZS
 
Hao wanaosema hajafanya kitu unajuwa wapo wapi...ughaibuni...labda wanataka Kikwete awabadilishe watanzania rangi kutoka weusi kuwa weupe kama wazungu...kweli CCM imeoza lakini JK anajitahidi kidoooogo.
 
Wakulima wa tumbaku wajipatia mabilioni

Na Lucas Macha
1st October 2009



tumbaku%281%29.jpg


Shamba la tumbaku.



Wakulima mkoani hapa wamejipatia Sh bilioni 149 kwa kuuza tumbaku katika msimu wa mwaka huu.

Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurungezi wa Bodi ya Tumbaku nchini, Vitta Kawawa wakati akizungumza na wakazi wa kijiji cha Msimba na Ibili kilichopo Wilaya ya Uyui.

Kawawa, alisema kiwango hicho kimeongezeka maradufu kutoka Sh bilioni 60 ambazo wakulima hao walijipatia mwaka jana baada ya kuuza tumbaku.

Kawawa ambaye pia ni Mbunge wa Namtumbo mkoani Ruvuma, alisema wastani wa bei ya kilo moja ya tumbaku kwa sasa ni mzuri kwa kuwa inauzwa kwa Sh 2,500 kwa kilo.

Alisema wakulima wa tumbaku nchini wanaufaika na zao hilo kwani z ni imara na halijateteleka hasa katika kipindi hiki cha mtikisiko wa uchumi unaozikumba nchi mbalimbali duniani.

Mwenyekiti huyo yuko mkoani hapa kwa ziara ya kukagua maendeleo ya zao hilo na kuwahamasisha wakulima kuboresha kilimo hicho ili kuongeza kipato.



Korosho za Tanzania zatesa soko la dunia

Na Said Hamdani
3rd October 2009

Korosho%20tz.jpg


Korosho.


Korosho za Tanzania zimeshika nafasi ya kwanza kwa ubora katika soko la Dunia katika kipindi cha mwaka jana, imefahamika.

Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho nchini, Athumani Muhagama katika kikao cha kupanda dira ya bei ya zao hilo kwa msimu ujao.

Akizungumza katika kikao hicho kilichoandaliwa na bodi hiyo, Muhagama, alisema korosho hizo zilizozalishwa katika baadhi ya mikoa nchini ni ya Tanga, Mtwara, Lindi na Pwani zilishika nafasi hiyo ya kwanza mwaka jana kutokana na wakulima kuzingatia ushauri wa wataalam wa kilimo hicho na masoko.

Mkurugenzi huyo, alisema kwa sasa wakulima hao wana changamoto ya kuendelea kuboresha kilimo hicho na kuzingatia ushauri wa wataalamu ili zao hilo lizidi kuongoza mwaka hadi mwaka kwa ubora katika soko hilo.

Akizungumzia kuhusu mwaka juzi, alisema zao hilo halikufanya vizuri katika soko hilo kutokana na wakulima kuchanganya na takataka kwa lengo la kuongeza uzito.

Akifungua mkutano huo, Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Magalula Said Magalula, alisema uwezo mdogo wa baadhi ya viwanda nchini wa kubangulia korosho nchini ni chanzo cha wakulima kulazimika kuuza korosho ghafi nje ya nchi, imeelezwa.

Alisema endapo wadau wa kilimo hicho watajipanga upya kinaweza kuwa na faida kwa wote na kuongeza pato la Serikali. Katika kikao hicho wadau wamekubaliana dira ya bei iwe Sh 675 kwa korosho ya daraja la kwanza kwa kilo na Sh 580 kwa daraja la pili.

CHANZO: NIPASHE

MNAOSEMA HAJAFANYA KITU KWENYE KILIMO, NIPENI DATA ZETU. Najua hamtaleta data zozote zile zaid ya kusema kafanyaaa vibaya.

Basi hali kama hiyo iko katika mazao karibu yote, kama Mahindi, Mpunga, na Chai.

Kikwete anaweza!

Yaani Watanzania ni wapumbavu kiasi hicho cha kushindwa kupambanua kama utendaji wa Kikwete tangu aingie madarakani ulikuwa ni mzuri au mbovu mpaka tumsikilize Kawawa! Ha ha ha ha LOL! Kweli akutukunaye hakuchagulii tusi...Wewe endelea tu kumsikiliza Kawawa ili uamini kwamba Kikwete kafanya mambo mengi sana kwa nchi yetu tangu aingie madarakani.
 
Hao wanaosema hajafanya kitu unajuwa wapo wapi...ughaibuni...labda wanataka Kikwete awabadilishe watanzania rangi kutoka weusi kuwa weupe kama wazungu...kweli CCM imeoza lakini JK anajitahidi kidoooogo.
Hawa huwa wanalilia uraia wa nchi mbili. Nao wanasema eti hilo lilikuwa katika ilani ya CCM.

Labda kweli ni muhimu kuliko yote, lakini mkulima wa kijijini halielewi hilo, na huko ndiko kwenye wapiga kura.

Ninaheshimu kubwa kwa diaspora, lakini wenzetu huko mnauhakika wa milo mitatu. Kwa hiyo tushughulikie kwanza haya ya wakulima na ya wamachinga.

Hata hivyo Kikwete kawasikia, si unaona kaandaa sikukuu ya Diaspora8waafrika waishio nje ya Afrika) Tanzania. JF mpeni sifa kidogo huyu kijana wetu kwa kufanya kitu kikubwa kama hicho. Vipi, hamna wawakilishi hapo Dar kwenye sherehe hiyo?
 
Pole sana ndugu yangu kwa kuziamini data za makaratasi,
umesahau kuwa watanzania ni watu wazuri sana kwa kufoji data,
yaani hizo data nenda kafanya hata samle ndogo tu maeneo hayo utapata data, usikubaliane na maandishi hayo.
Tusipojenga utamaduni wa kuaminiana kwa asilimia 100, basi hakuna haja ya kuishi.

Unajua, ni kweli kuwa kuna wadanganyifu katika utendaji, lakini si 100%. Na ndio maana bado tuna matumaini kuwa iko siku hawa wadanganyifu watatokomea, na tukaendelea kutumia vyombo mbalimbali kupambana nao, kama Magazeti, mitandao, sanaa, takukuru n.k.

Hiyo ni bodi ya tumbaku iliyotoa data, ambazo tunaweza kuzipata hata T.A.T au DEMON. Kuna njia nyingi za kuhakikisha hizo data, tafadhali zitumieni. Isitoshe hizi ni habari zilizotolewa na gazeti maarufu sana Tanzania, kama kungekuwa na uongo na kwa jinsi wanavyopenda kuuza magazeti wangezikanusha.

Napenda kukuhakikishia kuwa, hizo data ni za kweli kbisa na mimi mwenyewe nimezifuatilia katika wizara ya Biashara na viwanda. Ukitaka nebda huko watakupa.
 
Nazipenda hizo korosho, halafu ni nzuri sana, zinasaidia sana kuongeza nanihiii kwa wanaume
 
Back
Top Bottom