Wanaposema ni CCM Mpya, kwani ilichakaa lini?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
18,315
33,930
Katibu Mwenezi wa CCM Humphrey Polepole na kundi lake, wako bize kuzunguka nchi nzima kusema kwamba CCM mpya inakuja. Na pahala kwingine wamesikika wakisema kwamba sasa CCM imekuwa mpya.

Lakini kwenye Kampeni za Mwaka 2015 CCM walikuwa wanasema kuwa "CCM ni ile ile". Sasa CCM "ile ile" ni ipi? Ni ya kuanzia kwa Mwalimu Nyerere ama ni ya kuanzia kwa nani mpaka kwa nani? Na hawa wa "CCM Mpya" CCM wanayoiona kwamba ilikuwa "imechakaa" mpaka watake mpya ni ipi?

Na wakati CCM ilipokuwa "imechakaa" CCM yenyewe ilijijua kama imechakaa? Na kuchakaa huko siyo kule alikokusema Mzee Kingunge Ngombare Mwiru kwamba "CCM imekata pumzi"?

Madhara ya nchi kuendeshwa na CCM iliyochakaa ni yepi na taathira zake zimeondoka ama bado zipo? Jee ndani ya hiyo "CCM Mpya" ya kina Polepole ule uchakavu wa CCM iliyochakaa haujaingia?

Mawazo chakavu ya CCM chakavu ndiyo yamezaa viongozi chakavu waliyoichakaza nchi yetu mpaka kuwa hivi ilivyo. Ni kweli kuwa hata hii ya sasa ni CCM mpya ama ni ile ile chakavu ila inatoa kauli ikiwa kwenye nyumba mpya?
 
377b168668975a246e0d39a8e6b90c53.jpg
 
Katibu Mwenezi wa CCM Humphrey Polepole na kundi lake, wako bize kuzunguka nchi nzima kusema kwamba CCM mpya inakuja. Na pahala kwingine wamesikika wakisema kwamba sasa CCM imekuwa mpya.

Lakini kwenye Kampeni za Mwaka 2015 CCM walikuwa wanasema kuwa "CCM ni ile ile". Sasa CCM "ile ile" ni ipi? Ni ya kuanzia kwa Mwalimu Nyerere ama ni ya kuanzia kwa nani mpaka kwa nani? Na hawa wa "CCM Mpya" CCM wanayoiona kwamba ilikuwa "imechakaa" mpaka watake mpya ni ipi?

Na wakati CCM ilipokuwa "imechakaa" CCM yenyewe ilijijua kama imechakaa? Na kuchakaa huko siyo kule alikokusema Mzee Kingunge Ngombare Mwiru kwamba "CCM imekata pumzi"?

Madhara ya nchi kuendeshwa na CCM iliyochakaa ni yepi na taathira zake zimeondoka ama bado zipo? Jee ndani ya hiyo "CCM Mpya" ya kina Polepole ule uchakavu wa CCM iliyochakaa haujaingia?

Mawazo chakavu ya CCM chakavu ndiyo yamezaa viongozi chakavu waliyoichakaza nchi yetu mpaka kuwa hivi ilivyo. Ni kweli kuwa hata hii ya sasa ni CCM mpya ama ni ile ile chakavu ila inatoa kauli ikiwa kwenye nyumba mpya?
Ilichakazwa na Sumaye na Lowasa
 
CCM inayotegemea polisi na mtutu wa bunduki.
Ilichakaa ilipoishiwa hoja na maarifa ya kuendeleza nchi.
 
Katibu Mwenezi wa CCM Humphrey Polepole na kundi lake, wako bize kuzunguka nchi nzima kusema kwamba CCM mpya inakuja. Na pahala kwingine wamesikika wakisema kwamba sasa CCM imekuwa mpya.

Lakini kwenye Kampeni za Mwaka 2015 CCM walikuwa wanasema kuwa "CCM ni ile ile". Sasa CCM "ile ile" ni ipi? Ni ya kuanzia kwa Mwalimu Nyerere ama ni ya kuanzia kwa nani mpaka kwa nani? Na hawa wa "CCM Mpya" CCM wanayoiona kwamba ilikuwa "imechakaa" mpaka watake mpya ni ipi?

Na wakati CCM ilipokuwa "imechakaa" CCM yenyewe ilijijua kama imechakaa? Na kuchakaa huko siyo kule alikokusema Mzee Kingunge Ngombare Mwiru kwamba "CCM imekata pumzi"?

Madhara ya nchi kuendeshwa na CCM iliyochakaa ni yepi na taathira zake zimeondoka ama bado zipo? Jee ndani ya hiyo "CCM Mpya" ya kina Polepole ule uchakavu wa CCM iliyochakaa haujaingia?

Mawazo chakavu ya CCM chakavu ndiyo yamezaa viongozi chakavu waliyoichakaza nchi yetu mpaka kuwa hivi ilivyo. Ni kweli kuwa hata hii ya sasa ni CCM mpya ama ni ile ile chakavu ila inatoa kauli ikiwa kwenye nyumba mpya?
New wine into an old bottle
 
Katibu Mwenezi wa CCM Humphrey Polepole na kundi lake, wako bize kuzunguka nchi nzima kusema kwamba CCM mpya inakuja. Na pahala kwingine wamesikika wakisema kwamba sasa CCM imekuwa mpya.

Lakini kwenye Kampeni za Mwaka 2015 CCM walikuwa wanasema kuwa "CCM ni ile ile". Sasa CCM "ile ile" ni ipi? Ni ya kuanzia kwa Mwalimu Nyerere ama ni ya kuanzia kwa nani mpaka kwa nani? Na hawa wa "CCM Mpya" CCM wanayoiona kwamba ilikuwa "imechakaa" mpaka watake mpya ni ipi?

Na wakati CCM ilipokuwa "imechakaa" CCM yenyewe ilijijua kama imechakaa? Na kuchakaa huko siyo kule alikokusema Mzee Kingunge Ngombare Mwiru kwamba "CCM imekata pumzi"?

Madhara ya nchi kuendeshwa na CCM iliyochakaa ni yepi na taathira zake zimeondoka ama bado zipo? Jee ndani ya hiyo "CCM Mpya" ya kina Polepole ule uchakavu wa CCM iliyochakaa haujaingia?

Mawazo chakavu ya CCM chakavu ndiyo yamezaa viongozi chakavu waliyoichakaza nchi yetu mpaka kuwa hivi ilivyo. Ni kweli kuwa hata hii ya sasa ni CCM mpya ama ni ile ile chakavu ila inatoa kauli ikiwa kwenye nyumba mpya?

CCM mpya maana yake umekuja kwa kazi ya Mauaji ya RAIA wake,ndivyo ninavuoelewa kwa sasa labda wanipe sababu ya kufikiria vinginevyo.
 
Back
Top Bottom