The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,634
- 18,253
Mkuu,
Kuna hii tabia ya baadhi ya wanafunzi kutoka vyuo vikuu ughaibuni kuwapiga majungu wenzao,huu unafiki tu.Pengine mtu anafanya hivyo kwa kuwa yupo nyuma ya KEYBOARD na hawezi kuongea haya wakiwa face to face.Vijana acheni unafiki,tusijenge taifa la hovyo.Kama kuna tofauti ambayo ni personal kati yako na yeye ni better uzimalize nje ya jukwaa hili.Hata hivyo niwatendee haki ya kuwapa benefit of doubt anyways
Tujenge tabia ya kuja na uthibitisho unapotoa tuhuma dhidi ya mtu. Vipi mkuu,unaiheshimu CCM hadi sasa kwa lipi? na ni kwa nini kama huyo jamaa akipitishwa unaona kama vile itakuwa kigezo mojawapo cha wewe kukidharau hicho chama?
Hutaki unaacha!!!