Waziri wa Viwanda na Biashara Ndugu Charles Mwijage amesema kwamba kuanzia mwakani watu wote wanaovaa nguo za nje watazomewa ili kulinda viwanda vya nguo vya ndani.
Kama ndo hivyo, tunataka had I serikali kuu, hakuna kuvaa suti, washone nguo rasmi za kumtambulisha mtanzani kama akina Olesegun Obasanjo, ukimuona tu unajua huyu ni mnigeria
Kama ndo hivyo, tunataka had I serikali kuu, hakuna kuvaa suti, washone nguo rasmi za kumtambulisha mtanzani kama akina Olesegun Obasanjo, ukimuona tu unajua huyu ni mnigeria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.