Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,799
- 50,383
Hivi wanaojiunga na CCM ni kutoka CHADEMA peke yake watu wa kutoka vyama vingine hakuna. Ama hii ni dalili kwamba CCM inatishika na CHADEMA na ndiyo maana kwenye mikutano yao wanaona ni fahari sana kupokea wanachama toka CHADEMA?