Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,242
- 1,472
Mtangazaji machachari wa kipindi cha Jahazi cha Clouds Fm..Efrahim Kibonde leo jioni kwenye kipindi ametangaza vita na wote waliotengeneza na kusambaza dawa bandia za kurefusha maisha kwa wahathirika wa HIV/AIDS...Akizungumzia sakata ilo kwa sauti ya uchungu na hasira tofauti na kawaida yake ambapo amezoeleka kuongea kwa mzaha alisema,namnukuu..."wale wote waliotengeneza na kusambaza ARVs feki nitapambana nao mpaka ajulikane tatizo ni nani na achukuliwe hatua,alijalisha hili na halitoisha ivi ivi ili..waingereza wanasema they should shall suffer the consequences"..mwisho wa kumnukuu.
Kwa niaba ya JF natoa pongezi kwa ndugu yetu Kibonde kwa kuonyesha moyo wa upendo na kujali kwa ndugu zetu wahathirika...naomba wengine pia mjitokeze kumpa pongezi.
Kwa niaba ya JF natoa pongezi kwa ndugu yetu Kibonde kwa kuonyesha moyo wa upendo na kujali kwa ndugu zetu wahathirika...naomba wengine pia mjitokeze kumpa pongezi.