"Wanaotengeneza ARVs feki nitakufa nao":EFRAHIM KIBONDE

"Wanaotengeneza ARVs feki nitakufa nao":EFRAHIM KIBONDE

Judi wa Kishua

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2012
Posts
1,242
Reaction score
1,472
Mtangazaji machachari wa kipindi cha Jahazi cha Clouds Fm..Efrahim Kibonde leo jioni kwenye kipindi ametangaza vita na wote waliotengeneza na kusambaza dawa bandia za kurefusha maisha kwa wahathirika wa HIV/AIDS...Akizungumzia sakata ilo kwa sauti ya uchungu na hasira tofauti na kawaida yake ambapo amezoeleka kuongea kwa mzaha alisema,namnukuu..."wale wote waliotengeneza na kusambaza ARVs feki nitapambana nao mpaka ajulikane tatizo ni nani na achukuliwe hatua,alijalisha hili na halitoisha ivi ivi ili..waingereza wanasema they should shall suffer the consequences"..mwisho wa kumnukuu.

Kwa niaba ya JF natoa pongezi kwa ndugu yetu Kibonde kwa kuonyesha moyo wa upendo na kujali kwa ndugu zetu wahathirika...naomba wengine pia mjitokeze kumpa pongezi.
 
Mtangazaji machachari wa kipindi cha Jahazi cha Clouds Fm..Efrahim Kibonde leo jioni kwenye kipindi ametangaza vita na wote waliotengeneza na kusambaza dawa bandia za kurefusha maisha kwa wahathirika wa HIV/AIDS...Akizungumzia sakata ilo kwa sauti ya uchungu na hasira tofauti na kawaida yake ambapo amezoeleka kuongea kwa mzaha alisema,namnukuu..."wale wote waliotengeneza na kusambaza ARVs feki nitapambana nao mpaka ajulikane tatizo ni nani na achukuliwe hatua,alijalisha hili na halitoisha ivi ivi ili..waingereza wanasema they should shall suffer the consequences"..mwisho wa kumnukuu.

Kwa niaba ya JF natoa pongezi kwa ndugu yetu Kibonde kwa kuonyesha moyo wa upendo na kujali kwa ndugu zetu wahathirika...naomba wengine pia mjitokeze kumpa pongezi.

Sijui atatumia methodology gani ili kupambana na hao wahalifu ili wasije wamam-barlow! anyway, tunamuunga viungo!!
 
Mpaka yamfike ndio aone sababu ya kulikemea???yamekufika kaka kumbe na wewe ulimeza hizo feki....sasa subiri warning kutoka mjengoni ndio utjua kua jeykey ni kwere.huna ubavu wa kuwagusa hao wauaji wewe pambana na birthday party ya mjengoni.
 
Sijui atatumia methodology gani ili kupambana na hao wahalifu ili wasije wamam-barlow! anyway, tunamuunga viungo!!

tumuunge mkono kwa kweli..kama ungemsikiliza alivyokuwa anaongea kwa uchungu ingekugusa sana ndugu..anaonyesha kweli kadhamiria kupambana na waharifu hawa.
 
Mpaka yamfike ndio aone sababu ya kulikemea???yamekufika kaka kumbe na wewe ulimeza hizo feki....sasa subiri warning kutoka mjengoni ndio utjua kua jeykey ni kwere.huna ubavu wa kuwagusa hao wauaji wewe pambana na birthday party ya mjengoni.

tumuunge mkono ndugu..anaonekana amedhamilia kweli kweli kupambana 'ama zake ama zao'.
 
Mtangazaji machachari wa kipindi cha Jahazi cha Clouds Fm..Efrahim Kibonde leo jioni kwenye kipindi ametangaza vita na wote waliotengeneza na kusambaza dawa bandia za kurefusha maisha kwa wahathirika wa HIV/AIDS...Akizungumzia sakata ilo kwa sauti ya uchungu na hasira tofauti na kawaida yake ambapo amezoeleka kuongea kwa mzaha alisema,namnukuu..."wale wote waliotengeneza na kusambaza ARVs feki nitapambana nao mpaka ajulikane tatizo ni nani na achukuliwe hatua,alijalisha hili na halitoisha ivi ivi ili..waingereza wanasema they should shall suffer the consequences"..mwisho wa kumnukuu.

Kwa niaba ya JF natoa pongezi kwa ndugu yetu Kibonde kwa kuonyesha moyo wa upendo na kujali kwa ndugu zetu wahathirika...naomba wengine pia mjitokeze kumpa pongezi.

Kumpa pongezi hilo liko wazi. Sema wewe unatafuta umbeya mwingine.
 
Mtangazaji machachari wa kipindi cha Jahazi cha Clouds Fm..Efrahim Kibonde leo jioni kwenye kipindi ametangaza vita na wote waliotengeneza na kusambaza dawa bandia za kurefusha maisha kwa wahathirika wa HIV/AIDS...Akizungumzia sakata ilo kwa sauti ya uchungu na hasira tofauti na kawaida yake ambapo amezoeleka kuongea kwa mzaha alisema,namnukuu..."wale wote waliotengeneza na kusambaza ARVs feki nitapambana nao mpaka ajulikane tatizo ni nani na achukuliwe hatua,alijalisha hili na halitoisha ivi ivi ili..waingereza wanasema they should shall suffer the consequences"..mwisho wa kumnukuu.

Kwa niaba ya JF natoa pongezi kwa ndugu yetu Kibonde kwa kuonyesha moyo wa upendo na kujali kwa ndugu zetu wahathirika...naomba wengine pia mjitokeze kumpa pongezi.

yaani tz ni balaa, badala ya kusaidia namna ya kuwaokoa hawa wahanga wananchi wenzetu wenye ugonjwa mtu
anadiriki kuwamalizia kabisaaaa....
 
Muhusika kapewa uongozi chama tawala nahisi kama changa la macho maana watanzania si tunafanywa matoi tu.
 
Kwani hajui ccm ndipo ilipo tufikisha?
 
Ameongea kwa uchungu kibonde inauma sana ndani ya nchi yetu tunafanyiwa kama wanyama kwa maslahi ya wachache sina imani na serikali hii mwenzenu.


Nayanda.
 
Atleast nawe umepata uchungu, maana kwa kuropoka hujambo. Hilo lina direct impact kwako ndo maana watu wana sympathy kwako. Pole ndugu ki-valley. No offense kwa waathirika though.
 
Tatizo lake ni mnafiki sana huyu Bwana, leo kasema hvyo si ajabu kesho akabadirika. Yee huwa haungi mkono mambo yanayolalamikiwa na jamii hasa yatakayo wahusu viongoz flan wa serikal ama CCM, Leo yamemkuta ye binafs anataka aungwe mkono..! Anyway nipo pamoja nae ktk hilo, huenda ndo anabadir tabia yake ya kinafki.
 
Kibondeeee...kulikoni ARVs tu wakati dawa feki za malaria ndiyo zinazoongoza kwa wingi kuingizwa nchini? mhhh pana namna hapa...
 
hapa najua kuna watu wanataka jambo flan ..................ili tuingie mkenge
machale yananicheza........
 
Mtangazaji machachari wa kipindi cha Jahazi cha Clouds Fm..Efrahim Kibonde leo jioni kwenye kipindi ametangaza vita na wote waliotengeneza na kusambaza dawa bandia za kurefusha maisha kwa wahathirika wa HIV/AIDS...Akizungumzia sakata ilo kwa sauti ya uchungu na hasira tofauti na kawaida yake ambapo amezoeleka kuongea kwa mzaha alisema,namnukuu..."wale wote waliotengeneza na kusambaza ARVs feki nitapambana nao mpaka ajulikane tatizo ni nani na achukuliwe hatua,alijalisha hili na halitoisha ivi ivi ili..waingereza wanasema they should shall suffer the consequences"..mwisho wa kumnukuu.

Kwa niaba ya JF natoa pongezi kwa ndugu yetu Kibonde kwa kuonyesha moyo wa upendo na kujali kwa ndugu zetu wahathirika...naomba wengine pia mjitokeze kumpa pongezi.


Hapo kwenye nyekundu ni tafsiri yako huru au umemnukuu yeye?
 
Ameongea kwa uchungu kibonde inauma sana ndani ya nchi yetu tunafanyiwa kama wanyama kwa maslahi ya wachache sina imani na serikali hii mwenzenu.


Nayanda.

kwahiyo wanafunzi wanaolala njaa na kuamua kuandamana kudai haki zao mbona kibonde anawakashifu, mbona madaktari wakidai huduma bora kwa wagonjwa mahospitalin kibonde anawatukama, mi simungi mkono huyu kama nae ni kati ya walio bwia hizi arv feki ndo ajue kua watanzania tunamatatizo na asizalau tatizo la mtu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom