Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,066
- 1,047
- Thread starter
- #21
kwahiyo wanafunzi wanaolala njaa na kuamua kuandamana kudai haki zao mbona kibonde anawakashifu, mbona madaktari wakidai huduma bora kwa wagonjwa mahospitalin kibonde anawatukama, mi simungi mkono huyu kama nae ni kati ya walio bwia hizi arv feki ndo ajue kua watanzania tunamatatizo na asizalau tatizo la mtu
kumbuka hapa anaongelea wagonjwa wanaojaribu kuongeza uhai wao kwa dawa ambazo kumbe ni feki..tumuunge mkono kaongea kwa uchungu sana.