Wanaotaka kuiondoa CCM wamekwaa kisiki

Wanaotaka kuiondoa CCM wamekwaa kisiki

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,760
Sio vibaya ila inaonyesha wazi kuwa vile vyama vinavyotaka kuiondoa CCM ,vimekwaa kisiki tena cha mti mkavu.
Natumai mnajua ni jinsi gani jamaa wanaelekea kumalizika baada ya kukwaa kisiki hicho !
 
Sio vibaya ila inaonyesha wazi kuwa vile vyama vinavyotaka kuiondoa CCM ,vimekwaa kisiki tena cha mti mkavu.
Natumai mnajua ni jinsi gani jamaa wanaelekea kumalizika baada ya kukwaa kisiki hicho !

kipi hicho, mna rahaaaa kweli ssssssm rushwa ni takrima,,katiba mpya mali ya ssssssm,fisadi anaambiwa arudishe hela ya umma atasamehewa,epa mjadala unafungwa.,,, escrow account sssm ni madafu;;mnavyojua kuchakachua ;;;; kweli ssssssm ni mti mkati kwelikweli
 
Sio vibaya ila inaonyesha wazi kuwa vile vyama vinavyotaka kuiondoa CCM ,vimekwaa kisiki tena cha mti mkavu.
Natumai mnajua ni jinsi gani jamaa wanaelekea kumalizika baada ya kukwaa kisiki hicho !
ww mzm kwel?
 
huo ndio ukweli, japo inaonekana mgonjwa akiwa ICU the only thing ni kumpa moyo, hata pale moyo unaposhindwa kufanya kazi.
 
Huyo sio mzima atakuwa kabadilishwa jinsia na ccm wamempa khanga pedy
 
ww mzm kwel?

Tena wa afya njema ,kwani uwongo ? Ukikwaa kisiki huwaga unaking'oaga ? Au unashughulikaga na maumivu na kwenda zako huku ukiomba madua ya kuku na kulaani !!

CCM wanaendelea ,watatafuta mbinu mbadala za kupitisha katiba ,usijidanganye kuwa Katiba itakwama kwenye kura za wananchi ,jiulize hivi anaetangaza matokeo ni nani ? Ni serikali ya CCM au unategemea tume huru ? CCM ina matatizo lakini matatizo yao hayatokei katika kukoseshana ushindi.

Haya kuna hii hatua ya mwisho ya kuandamana nani anatoa vibali vya kuandamana ? Nani anasambaratisha maandamano ? Je wananchi wamejiandaa au mmewaanda kiasi gani kuweza kupambana na polisi wa CCM ?

Je kuna hiztoria yeyote inayoonyesha ushindi ulipatika au matakwa yalisikilizwa kwa maandamano hapaa Tz? Ndio nikasema kisiki kimekwaliwa ,lazima kucha zitoke !
 
kipi hicho, mna rahaaaa kweli ssssssm rushwa ni takrima,,katiba mpya mali ya ssssssm,fisadi anaambiwa arudishe hela ya umma atasamehewa,epa mjadala unafungwa.,,, escrow account sssm ni madafu;;mnavyojua kuchakachua ;;;; kweli ssssssm ni mti mkati kwelikweli

Kuna ufisadi kuzidi anafanya Mbowe chama chote ni mali yake ruzuku ya chama yote anachukua yeye wanawake wa viti maalumu anawapeleka anakotaka kwa fedha ya serikali hapo hajaukwaa huo urais
 
kipi hicho, mna rahaaaa kweli ssssssm rushwa ni takrima,,katiba mpya mali ya ssssssm,fisadi anaambiwa arudishe hela ya umma atasamehewa,epa mjadala unafungwa.,,, escrow account sssm ni madafu;;mnavyojua kuchakachua ;;;; kweli ssssssm ni mti mkati kwelikweli

Acha nyimbo za CHDEMA hizo , rudi kwenye mjadala sasa, unaonaje UKAWA wana chao tena?
 
Tena wa afya njema ,kwani uwongo ? Ukikwaa kisiki huwaga unaking'oaga ? Au unashughulikaga na maumivu na kwenda zako huku ukiomba madua ya kuku na kulaani !!

CCM wanaendelea ,watatafuta mbinu mbadala za kupitisha katiba ,usijidanganye kuwa Katiba itakwama kwenye kura za wananchi ,jiulize hivi anaetangaza matokeo ni nani ? Ni serikali ya CCM au unategemea tume huru ? CCM ina matatizo lakini matatizo yao hayatokei katika kukoseshana ushindi.

Haya kuna hii hatua ya mwisho ya kuandamana nani anatoa vibali vya kuandamana ? Nani anasambaratisha maandamano ? Je wananchi wamejiandaa au mmewaanda kiasi gani kuweza kupambana na polisi wa CCM ?

Je kuna hiztoria yeyote inayoonyesha ushindi ulipatika au matakwa yalisikilizwa kwa maandamano hapaa Tz? Ndio nikasema kisiki kimekwaliwa ,lazima kucha zitoke !
Alidanganywa daniel moi hivyohivyo...silly
 
CCM itaendelea kuwa madarakani kwa sababu tuu ya udhaifu wa vyama vya upinzani.
 
Sio vibaya ila inaonyesha wazi kuwa vile vyama vinavyotaka kuiondoa CCM ,vimekwaa kisiki tena cha mti mkavu.
Natumai mnajua ni jinsi gani jamaa wanaelekea kumalizika baada ya kukwaa kisiki hicho !

huo ndio ukweli, japo inaonekana mgonjwa akiwa ICU the only thing ni kumpa moyo, hata pale moyo unaposhindwa kufanya kazi.

Kuna ufisadi kuzidi anafanya Mbowe chama chote ni mali yake ruzuku ya chama yote anachukua yeye wanawake wa viti maalumu anawapeleka anakotaka kwa fedha ya serikali hapo hajaukwaa huo urais

Mimi nilijua tu UKAWA wanatapatapa

Imebidi
Tutahakikisha tuko busy kupost mambo mema na mazuri yatakayokuwa yakifanywa na MM kila wakati na kuzidi kusambaza sifa zake njema kila inapotokea nafasi. Atakayefanya kazi hiyo ni sisi wengine wala si yeye! Pia tutahakikisha kila post ya kumchafua inapatiwa majibu bila kutumia ID yake inayojulikana. Ni vema aidha akatupatia majibu na sisi kuyapost ama afungue ID mpya kabisa ambazo hazijawahi kuwepo kwenye mitandao halafu ndo awe anazitumia kujibu lakini kwa kuzingatia tuliyokwishayazungumza hapo juu yaani kutofanya kwa emotion na kuepuka jazba lakini pia kushauriana na watu wa karibu kabla ya kutoa majibu kwa jambo lolote linalomhusu.

 
Back
Top Bottom