the new dude
Member
- Apr 6, 2009
- 14
- 5
Sasa tupindue kichwa kusoma hilo tangazo
watu wanaflow na demand........siwawezi.......
watu wanaflow na demand........siwawezi.......
watu wanaflow na demand........siwawezi.......
umeona...!:d
Hapo ndipo ninaposhindwa kuwaelewa viongozi wa nchi hii. Kwa nini matangazo ya kitapeli ulio wazi kabisa yanabandikwa tu hovyo hovyo na hakuna mtu anajali? Kweli hata hili linahitaji mtu awe na shahada ya chuo kikuu kulielewa? Kweli tumekwisha!!
...wajinga ndio waliwao...