Wanaosoma GEOLOGY and related courses.

Mad Max

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
19,050
49,686
Jamani hivi kuna Student Association ya Geologists hapa Tz? also kazi zetu almost 80% tunategemea kufanya migodini, ila ukicheki ktk nafasi za kazi utakuta wanahitaji experience ya almost 3yrs. Sisi fresh itakuaje?
 
Miaka ya 1990' kulikuwa na GAS (Geological Association of Students) pale Mlimani, sijui kama bado ipo au "mmeiua". Lakini kuna "association" ya ma-geologists iitwayo TGS (Tanzania Geological Society) ambayo iko kwenye mikakati ya kuhakikisha kila mdau wa sekta hiyo anatambuliwa nayo na ndiyo itakayokuwa inaratibu maswala ya ajira kwa wadau wake.

Swala la 3yrs experience lisikutie hofu, mwajiri anayeweka vigezo hivyo atakosa watu maana kimsingi hakuna ma-geo walio "loose" sokoni. Ikitokea post wewe apply tu utapata.
 
Miaka ya 1990' kulikuwa na GAS (Geological Association of Students) pale Mlimani, sijui kama bado ipo au "mmeiua". Lakini kuna "association" ya ma-geologists iitwayo TGS (Tanzania Geological Society) ambayo iko kwenye mikakati ya kuhakikisha kila mdau wa sekta hiyo anatambuliwa nayo na ndiyo itakayokuwa inaratibu maswala ya ajira kwa wadau wake.

Swala la 3yrs experience lisikutie hofu, mwajiri anayeweka vigezo hivyo atakosa watu maana kimsingi hakuna ma-geo walio "loose" sokoni. Ikitokea post wewe apply tu utapata.

thanks brother, mie nipo UDOM napiga hiyo kitu.
nimesikia due to advancement of science and technology, exploration inatumia vifaa zaidi. hvyo ma geologists hatuna chetu. hii vipi?
 
also hiyo Tanzania Geology society, hawana contacts? mbona Google haipo? mi naifahamu Geological survey of Tanzania GST.
Masada kaka
 
There is no replacement of a field grologist regardless of high resolution technology!!!!!!!Wewe piga kitabu tu GPA nzuri unapata kazi haraka basi...

Contact
The Chairman,
Organizing Committee,
Tanzania Geological Society (TGS)
Annual General Conference.
GEOLOGICAL SURVEY OF TANZANIA
P.O. Box 903
DODOMA
Attn: Prof. A. H. Mruma
Tel: +255 754 308 861
E-mail: abdulmruma@yahoo.com
 
Sorry, the correct contacts are;

Tanzania Geological Society (TGS)
P.O. Box 180
Dodoma
TANZANIA.

OR Tanzania Geological Society (TGS)
P. O.Box 35052
Dar es Salaam
TANZANIA.


Kani ni Kwako
 
thanks alot Mzee wa usafi.
let me try check it...
 
Miaka ya 1990' kulikuwa na GAS (Geological Association of Students) pale Mlimani, sijui kama bado ipo au "mmeiua". Lakini kuna "association" ya ma-geologists iitwayo TGS (Tanzania Geological Society) ambayo iko kwenye mikakati ya kuhakikisha kila mdau wa sekta hiyo anatambuliwa nayo na ndiyo itakayokuwa inaratibu maswala ya ajira kwa wadau wake.

Swala la 3yrs experience lisikutie hofu, mwajiri anayeweka vigezo hivyo atakosa watu maana kimsingi hakuna ma-geo walio "loose" sokoni. Ikitokea post wewe apply tu utapata.
Naomba kuuliza hivi kwa my ambaye ni geology technician kwenye written interview ni maswal gan hutokeza Sana ni kaz za wizara
 
Back
Top Bottom