mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,252
Sijafurahishwa Na chama cha mapinduzi CCM kuwapokea walioihama CCM Na kuhamia vyama vingine.Nilitegemea tungewauliza kama walimpigia kura Mh.magufuli licha ya kuhama.Kuishia kuwapokea tu haikuwa sahihi kwani walitukimbia.Kilicho nifurahisha no neno alilolisema Mwenyekiti kuwa ng'ombe aliyekatika mkia atajulikana tu katika kundi la ng'ombe.