std7
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,731
- 2,631
1. Baadhi ya wafuasi na mashabiki wa cdm. kwa sababu kukashfu na kutukana. 2. Baadhi ya watu wenye msimamo mkali wa kidini kwa kudharau na kubeza hata kutukana imani za watu wengine. 3. Baadhi ya wafuasi na mashabiki wa ccm. kwa kurudisha mashambuli na kujikuta wako nje ya mstari. au nje utaratibu na sheria jamvi. so NO.1 CDM. NO.2 WENYE MSIMAMO MKALI WA KIDINI. NO.3 CCM. na wewe endelea.. kuwaorodhesha pasi.. upendeleo.