kwanza ni kitu gani kinakuambia mtu ana fedha? Gari analoendesha (ambalo lina mkopo anadaiwa hadi kwa mangi bill ya dona), mavazi yake (hahaha mikopo ya blauzi na handbags huko maofisini ni aibu tupu), au dhahabu (mchina katurahisishia wala kama ni feki ama yenyewe mnaweza msijue ).
Yaani mtu anakutembelea siku moja unamfurahisha kwa kukwangua mfuko halafu anataka mgawane hizo bata?
Kwani yeye kinachomfanya asiwe na hela ni nini kwa mfano??