Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,144
- 162,541
Kama yote haya yanatokea kwa ushauri wa wanaomzunguka, basi watu hao wakimshauri abadili katiba, hawezi pinga zaidi ya kukubali hilo wazo na kulifanyia kazi.
Hawawezi kuungana kumpiga kwasababu ya ubinafsi wa kupenda vyeo na uogo uliowatawala .
Kitu pekee kinachoweza kutuokoa, ni labda asiwepo kwenye hiyo nafasi by 2030. Otherwise, hili nilisemalo linaweza kabisa kutokea na kwenye chama chake hakuna mwenye ujasiri wa kumpinga zaidi tu ya kulalamika bila kuchukua hatua yoyote ya maana.
Hata wale wa pamba za mabakamabaka msitatajie watafanya lolote le kusaidia iwapo ataamua kubaki kwenye hiyo nafasi.
Time will tell.
Hawawezi kuungana kumpiga kwasababu ya ubinafsi wa kupenda vyeo na uogo uliowatawala .
Kitu pekee kinachoweza kutuokoa, ni labda asiwepo kwenye hiyo nafasi by 2030. Otherwise, hili nilisemalo linaweza kabisa kutokea na kwenye chama chake hakuna mwenye ujasiri wa kumpinga zaidi tu ya kulalamika bila kuchukua hatua yoyote ya maana.
Hata wale wa pamba za mabakamabaka msitatajie watafanya lolote le kusaidia iwapo ataamua kubaki kwenye hiyo nafasi.
Time will tell.