chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Jeshi la polisi mkoani Lindi limewataka wote ambao hawajahakiki silaha zao wazisalimishe haraka kwa jeshi la polisi kabla hawajazifuata huko ziliko
Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Renata Mzinga amesema jeshi la polisi limeshatoa muda wa kutosha wa kuhakiki silaha na kama hujahakiki na bado unamiliki silaha hiyo ni vema ukaisalimisha
ameongezea wao wana database ya silaha zote na wataanza kuzifuata huko ziliko ambazo hazijahakikiwa
Ametoa wito kwa wananchi kutoa taarifa wakimuona yoyote anayemiliki silaha isivyo kihalali
Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Renata Mzinga amesema jeshi la polisi limeshatoa muda wa kutosha wa kuhakiki silaha na kama hujahakiki na bado unamiliki silaha hiyo ni vema ukaisalimisha
ameongezea wao wana database ya silaha zote na wataanza kuzifuata huko ziliko ambazo hazijahakikiwa
Ametoa wito kwa wananchi kutoa taarifa wakimuona yoyote anayemiliki silaha isivyo kihalali