Elections 2015 Wanaomchafua Ben Saanane huu ndio wasifu wake

KUELEKEA UCHAGUZI BAVICHA: MASWALI KUMI KWA MNAYEMUITA "MZEE WA IPAD"

1. Je, kwanini bado ana nia ya kugombea Uenyekiti wa Bavicha Taifa?
2. Kwa kuwa alienguliwa kwa kutoa rushwa kwenye uchaguzi wa Bavicha uliopita, je lini ameacha rasmi tabia ya kutoa rushwa?
3. Je, alishawahi kuwa kiongozi yeyote ndani ya chama hata kwenye ngazi ngazi ya msingi? kama ndiyo ngazi gani na wapi na lini?
4. Kwanini anataka Uenyekiti wa Bavicha wakati hana rekodi yoyote ya uongozi ndani ya chama?
5. Je, haoni kuwa kwa yeye kuwa Mwenyekiti wa Bavicha atakuwa hana moral authority ya kukemea rushwa na ufisadi kwa sababu ana rekodi ya kutoa rushwa ndani ya chama?
6. Kwa kuwa anajigamba kwamba ana kieneza chama (mtandaoni), ana uwezo wa kuandika kwa hoja na mantiki (Yuko sahihi) kwanini asigombee Uratibu wa Uhamasishaji badala ya Uenyekiti..?
7. Je, anajua kwamba kuwa mwenyekiti, pamoja na mambo mengine atakuwa ni mjumbe wa kamati kuu ya chama, Baraza Kuu na Mkutano Mkuu hivyo kuwa sehemu ya siri za chama hususani akialikwa kwenye summit...?
8. je anaweza kuvuka vimo vya heche? alishawahi kukaa hata lock up (siasa za kiafrika ni mapambano dhidi ya dola) kwa sekunde?
9. Anaweza kweli kuongoza maandamano mithili ya Julius Malema ikiwa viongozi wa kuu wa chama watakapokuwa wamewekwa jela?
10. Kwa kuwa nafahamu kuwa ameusaka Uenyekiti wa muda mrefu, je tunaaminije kuwa haku-surrender bali ali-retreat ili kuwin trust ya viongozi na wanachama kama mkakati wa kuiteka Bavicha?

RAI YANGU:
- Ni hatari kubwa sana kuwa na mwenyekiti ambaye ana rekodi ya usaliti, rushwa, hana uzoefu hata wa kuwa class monitor!!!
- Kwa miaka mitatu niliaminiwa kuwa sehemu ya mijadala ya kamati kuu, I know nini maana ya kuwa mjumbe wa kamati kuu coz utakuwa ni sehemu ya siri za chama.
- Ni hatari kuwa na mtu ambaye anatumia nguvu kubwa kuutaka uenyekiti.
- Ni hatari kubwa tumeelekea kuchukua dola Bavicha kuwa sehemu ya majaribio ya uongozi.
- Elewa kuwa hauwezi kuwa CEO wa kumpuni kama TBL au TCC kama hauna proven records of experience zaidi ya miaka 20 katika managerial or similar position...! Nina maana kuwa Uenyekiti ni nafasi nyeti kwa mtu ambaye hajawahi hata kupigiwa kura ya umonitor wa darasa la tatu B.
-Sina mashaka na elimu yake, hata umri wake (coz sijui wala siwezi kuprove umri wake) bali nina mashaka "ushetan" uliopo ndani ya moyo wake fichivu.
- JINI LIKUJUALO HALIKULI LIKAKUMALIZA. TUSIWE SEHEMU YA UAWAKALA WA SHETANI. MUNGU YU UPANDE WENYE DHAMIRA NJEMA, NIA NJEMA NA MIKAKATI MEMA


 
Ningeshangaa kama usingechangia hapa.
Siasa zenu ndo hizo.
Nyingine hii
KUELEKEA BAVICHA.
(Kwanza - sigombei)
Ni hatari kwa chama kupata Kiongozi wa Taifa wa BAVICHA ambaye hana rekodi au uzoefu wowote wa uongozi wa ndani ya chama, wala hajawahi kushika nafasi ya ngazi ya msingi au tawi. Tunapoelekea kwenda kuchukua dola hatupaswi kufanya rehearsal ya uongozi muhimu wa juu kabisa kama nafasi ya Mwenyekiti wa BAVICHA. Hatupaswi kufanya majaribio ya nafasi muhimu kama Mwenyekiti ambaye atakuwa ni mjumbe wa kamati kuu ya chama, baraza kuu na mkutano mkuu kwa cheo chake. Hapaswi kuwa na rekodi ya usaliti ndani ya chama. Hapaswi kuwa na rekodi ya rushwa ndani ya chama, hapaswi kuwa mpenda makundi ndani ya chama, hapaswi kuwa amejitafutia umaarufu kwa kuattack personalities! Awe na rekodi ya uaminifu isiyo na shaka. Awe anafahamu ngazi za chini na matatizo ya vijana wa vijijini bali siyo lower and upper middle class pekee yake za Twitter, Instgram, FB na Jamii forum. NITAMPINGA YEYOTE AMBAYE ATAKUWA NA SIFA HIZO. WATU TUMEKAA JELA TUKIWA NA VITANDA VIZURI, TUMEPIGWA BARIDI TUKIWA NA BLANKETI, TUMELALA NJAA TUKIWA NA MAVUNO MENGI, TUKAKOSA FURSA ZAIDI KWA SABABU ZA BAVICHA. Tulianza kuijenga Bavicha kabla haijaanza bado ikiwa ni Kurugenzi ya Vijana 2006 nikiwa na Mnyika, Kinabo, Regia, Killian Nango, Kafulila.... Tuliandika Katiba ya Bavicha, Tulikesha kuandika Sera ya vijana, tulikesha na kukeshaaaaaaa....tukaanza kwenda Field... Leo watu wanataka Uenyekiti kwa kutumia IPad akiwa chumbani kwake na hawara yake akipost FB... Leo mtu anataka Uenyekiti haijui ngazi ya msingi zaidi ya kuisoma na kuinukuu kwenye Katiba... anataka Uenyekiti.... Bavicha ni zaidi ya FB na JF... ni zaidi ya comments na likes!!! ni zaidi ya kuomba muongozo kwa moderates u guys!! Ni taasisi imara... ni zaidi ya socio-media... ni zaidi... JITAFAKARINI KWA KINA SANA....
 
Ben usogope....uzuri wa wanaokupinga wooote wanajulikana kwa post zao za nyuma.... ivo wanaogopa hta kivuli chako... mtu anayempinga akipost , mtu usichangie hoja yake, nenda kwenye posts na threads started umsome then ndo unaelewa lengo lao...wamekwama!!
 
Siasa zenu ndo hizo.
Nyingine hii
KUELEKEA BAVICHA.
(Kwanza - sigombei)
Ni hatari kwa chama kupata Kiongozi wa Taifa wa BAVICHA ambaye hana rekodi au uzoefu wowote wa uongozi wa ndani ya chama, wala hajawahi kushika nafasi ya ngazi ya msingi au tawi. Tunapoelekea kwenda kuchukua dola hatupaswi kufanya rehearsal ya uongozi muhimu wa juu kabisa kama nafasi ya Mwenyekiti wa BAVICHA. Hatupaswi kufanya majaribio ya nafasi muhimu kama Mwenyekiti ambaye atakuwa ni mjumbe wa kamati kuu ya chama, baraza kuu na mkutano mkuu kwa cheo chake. Hapaswi kuwa na rekodi ya usaliti ndani ya chama. Hapaswi kuwa na rekodi ya rushwa ndani ya chama, hapaswi kuwa mpenda makundi ndani ya chama, hapaswi kuwa amejitafutia umaarufu kwa kuattack personalities! Awe na rekodi ya uaminifu isiyo na shaka. Awe anafahamu ngazi za chini na matatizo ya vijana wa vijijini bali siyo lower and upper middle class pekee yake za Twitter, Instgram, FB na Jamii forum. NITAMPINGA YEYOTE AMBAYE ATAKUWA NA SIFA HIZO. WATU TUMEKAA JELA TUKIWA NA VITANDA VIZURI, TUMEPIGWA BARIDI TUKIWA NA BLANKETI, TUMELALA NJAA TUKIWA NA MAVUNO MENGI, TUKAKOSA FURSA ZAIDI KWA SABABU ZA BAVICHA. Tulianza kuijenga Bavicha kabla haijaanza bado ikiwa ni Kurugenzi ya Vijana 2006 nikiwa na Mnyika, Kinabo, Regia, Killian Nango, Kafulila.... Tuliandika Katiba ya Bavicha, Tulikesha kuandika Sera ya vijana, tulikesha na kukeshaaaaaaa....tukaanza kwenda Field... Leo watu wanataka Uenyekiti kwa kutumia IPad akiwa chumbani kwake na hawara yake akipost FB... Leo mtu anataka Uenyekiti haijui ngazi ya msingi zaidi ya kuisoma na kuinukuu kwenye Katiba... anataka Uenyekiti.... Bavicha ni zaidi ya FB na JF... ni zaidi ya comments na likes!!! ni zaidi ya kuomba muongozo kwa moderates u guys!! Ni taasisi imara... ni zaidi ya socio-media... ni zaidi... JITAFAKARINI KWA KINA SANA....

maneno yako nme yapata vizuri....
 
Karma+-+going+round.jpg
 
Hivi utahamia ACT lini au unasubiri kiinua mgongo.

Najua Ben saanane ni adui wa kundi lenu kwa kuwa alifichua maovu yenu.
unajisumbua mkuu wangu kukimbizana na kivuli huyo jamaa yako Karma itamhukumu.
Sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote na wala sitegemei coz siasa zimejaa unafiki
 
Utahangaika sana moto ni ule ule.
hahaha hauziki huyo anamikono michafu ya usaliti, unafiki na Makundi.
Nilimshauri mwanzoni kabisa hao aliokua anawatumikia wako nae kwa tahadhari kubwa wanafaha maji hayasahau halisi yake.
Unafiki na Usaliti na Tabia ya huyo jamaa yako.
 
hahaha hauziki huyo anamikono michafu ya usaliti, unafiki na Makundi.
Nilimshauri mwanzoni kabisa hao aliokua anawatumikia wako nae kwa tahadhari kubwa wanafaha maji hayasahau halisi yake.
Unafiki na Usaliti na Tabia ya huyo jamaa yako.
Daima ukweli utasimama ni bahati mbya mnatumia mbinu za kizamani,

Umnafki namba moja na kundi lenu Ben aliwaacha uchi.
 
Last edited by a moderator:
hahaha hauziki huyo anamikono michafu ya usaliti, unafiki na Makundi.
Nilimshauri mwanzoni kabisa hao aliokua anawatumikia wako nae kwa tahadhari kubwa wanafaha maji hayasahau halisi yake.
Unafiki na Usaliti na Tabia ya huyo jamaa yako.

nmeanza kuelewa malengo yenu, ila comrade Ben anafaa kuwa kiongozi wa bavicha taifa hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu.
 
nmeanza kuelewa malengo yenu, ila comrade Ben anafaa kuwa kiongozi wa bavicha taifa hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu.

ben amezidi umri wa kugombea bavicha, labda agombee baraza la wazee
 
Back
Top Bottom