Y yusimi Member Joined Dec 14, 2014 Posts 25 Reaction score 4 Dec 11, 2017 #1 Habarini wana jf wenzangu Mimi na umri wa miaka 25.nataka nimiliki gari. Naomba yeyote anaejua wanaokopesha magar anipe contact au directions. Nataka gari ndogo inirahisishie mambo madogo madogo. Asanteni
Habarini wana jf wenzangu Mimi na umri wa miaka 25.nataka nimiliki gari. Naomba yeyote anaejua wanaokopesha magar anipe contact au directions. Nataka gari ndogo inirahisishie mambo madogo madogo. Asanteni
Desire Dizaya JF-Expert Member Joined Feb 16, 2015 Posts 6,476 Reaction score 11,671 Dec 11, 2017 #2 una sh ngapi kianzio? unataka gari aina gani.? shughuli yako ya kukuingizia kipato ni ipi jibu nkiunganishe
una sh ngapi kianzio? unataka gari aina gani.? shughuli yako ya kukuingizia kipato ni ipi jibu nkiunganishe
Maguge Maguge JF-Expert Member Joined Sep 1, 2016 Posts 2,734 Reaction score 1,780 Dec 11, 2017 #3 kanuni za kukopesha mara nyingi zinaambatana na dhamana, una nini cha kuweka dhamana?
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 18,428 Reaction score 24,145 Dec 11, 2017 #5 jiandae gari ya milion8 kuuziwa 11...kupitia huo mkopo
Y yusimi Member Joined Dec 14, 2014 Posts 25 Reaction score 4 Dec 11, 2017 Thread starter #6 aggyjay said: una sh ngapi kianzio? unataka gari aina gani.? shughuli yako ya kukuingizia kipato ni ipi jibu nkiunganishe Click to expand... Mil2kianzio. Nimeajiriwa kwenye private company
aggyjay said: una sh ngapi kianzio? unataka gari aina gani.? shughuli yako ya kukuingizia kipato ni ipi jibu nkiunganishe Click to expand... Mil2kianzio. Nimeajiriwa kwenye private company